Ngasere45
Senior Member
- Dec 31, 2022
- 149
- 565
WAZIRI NCHEMBA AZINDUA CHAPISHO LA 19 LA RIPOTI YA BENKI YA DUNIA
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amezindua chapisho la 19 la Ripoti ya Benki ya Dunia ya Hali ya Uchumi (Tanzania Economic Update-The Efficiency and Effectiveness of Fiscal Policy in Tanzania), katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Rotana, Jijini Dar Es Salaam.
Ambapo Ripoti hiyo, pamoja na mambo mengine, inaonesha Tanzania kufanya vizuri katika maeneo mengi yaliyofanyiwa utafiti ikiwemo kuimarika kwa hali ya uchumi, wenendo mzuri wa utoaji wa fedha kwenda kwenye miradi ya maendeleo, nchi kuwa na hifadhi ya fedha za kigeni za kutosha, kuimarika kwa ukusanyaji wa kodi za ndani, mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara pamoja na usimamizi mzuri wa deni la Serikali na kushauri mambo kadhaa ikiwemo uimarishaji zaidi wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali kupitia kodi za ndani, usimamizi bora zaidi wa Bajeti Kuu ya Serikali na huduma nyingine za jamii.
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amezindua chapisho la 19 la Ripoti ya Benki ya Dunia ya Hali ya Uchumi (Tanzania Economic Update-The Efficiency and Effectiveness of Fiscal Policy in Tanzania), katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Rotana, Jijini Dar Es Salaam.
Ambapo Ripoti hiyo, pamoja na mambo mengine, inaonesha Tanzania kufanya vizuri katika maeneo mengi yaliyofanyiwa utafiti ikiwemo kuimarika kwa hali ya uchumi, wenendo mzuri wa utoaji wa fedha kwenda kwenye miradi ya maendeleo, nchi kuwa na hifadhi ya fedha za kigeni za kutosha, kuimarika kwa ukusanyaji wa kodi za ndani, mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara pamoja na usimamizi mzuri wa deni la Serikali na kushauri mambo kadhaa ikiwemo uimarishaji zaidi wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali kupitia kodi za ndani, usimamizi bora zaidi wa Bajeti Kuu ya Serikali na huduma nyingine za jamii.