vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,616
Habari waheshimiwa,
Mi mgeni humu naomba kuuliza swali...
Katika maongezi huwa mazingatio ni katika herufi au maana ya maneno?
Najua kuna vilaza hawajaelewa, ngoja nifafanue...
Mfano mzuri ni kuhusu viungo vya uzazi, ukitaja uume, dushee, uke, papuchi, hambalulu, sehemu za siri. . .
Maneno yote haya ukiyataja kama mtu anaelewa manake lazma picha itamjia kichwani ya kitu ulichokitaja. Na ataelewa umemaanisha nini..
Hayo majina hapo juu ni mkusanyiko wa alphabets za kiingereza kama maneno mengine yote ninayoyaandika hapa.
Lakini kuna maneno mengine yakitumia mtu anaonekana hana adabu, katukana, kakosea, mhuni, nk japokuwa amemaanisha kitu kile kile. Na akitaja mtu anapata picha ileile.
Na ukiyataja humu jf unaweza ambulia ban au thread yako kufutwa...
Sasa tatizo huwa ni nini? Ni mpangilio wa herufi katika haya maneno? Au?
Mfano badala ya kuandika
Uume au dushee nikaandika mbo......
Au badala ya papuchi nikaandika kum...
Au badala ya mapenzi ya jinsia moja nikaandika kufir....na
Badala ya kufanya tendo la ndoa nikaandika kut...mbana
Japo nimefichaficha hayo maneno kuhofia ban, bado kuna watu wataona nimetukana..Tatizo ni nini?
Why mzazi aone sawa kumwambia mwanaye mdogo afiche dudu yake lakini ahofie kumwambia afiche mbo... yake?
Badala ya kumwambia mtoto wa kike afunike kwa bibi amwambie afunike k..ma..
Mazingatio ni herufi au maana na dhati ya kitu husika?
Karibuni
Mi mgeni humu naomba kuuliza swali...
Katika maongezi huwa mazingatio ni katika herufi au maana ya maneno?
Najua kuna vilaza hawajaelewa, ngoja nifafanue...
Mfano mzuri ni kuhusu viungo vya uzazi, ukitaja uume, dushee, uke, papuchi, hambalulu, sehemu za siri. . .
Maneno yote haya ukiyataja kama mtu anaelewa manake lazma picha itamjia kichwani ya kitu ulichokitaja. Na ataelewa umemaanisha nini..
Hayo majina hapo juu ni mkusanyiko wa alphabets za kiingereza kama maneno mengine yote ninayoyaandika hapa.
Lakini kuna maneno mengine yakitumia mtu anaonekana hana adabu, katukana, kakosea, mhuni, nk japokuwa amemaanisha kitu kile kile. Na akitaja mtu anapata picha ileile.
Na ukiyataja humu jf unaweza ambulia ban au thread yako kufutwa...
Sasa tatizo huwa ni nini? Ni mpangilio wa herufi katika haya maneno? Au?
Mfano badala ya kuandika
Uume au dushee nikaandika mbo......
Au badala ya papuchi nikaandika kum...
Au badala ya mapenzi ya jinsia moja nikaandika kufir....na
Badala ya kufanya tendo la ndoa nikaandika kut...mbana
Japo nimefichaficha hayo maneno kuhofia ban, bado kuna watu wataona nimetukana..Tatizo ni nini?
Why mzazi aone sawa kumwambia mwanaye mdogo afiche dudu yake lakini ahofie kumwambia afiche mbo... yake?
Badala ya kumwambia mtoto wa kike afunike kwa bibi amwambie afunike k..ma..
Mazingatio ni herufi au maana na dhati ya kitu husika?
Karibuni