Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Jana R A katangaza rasim kuachia nyazifa zote ndani ya ccm na kubakiza uwanachama wa ccm nawaomba wa nannchi wenzangu tujiulize? kwanini? Anajiuzuru kumetokea nini? cdm wameibuwa uozo mwingi juu ya ufisadi unao fanywa na viongozi wa ngazi mbalimbali ccm ikiwemo r a kahusiswa na ufujaji wa kodi za watanzania kinacho ni shangaza watu wanamusifia na ku muita shuja jee inatosha tuu kujivuwa hilo gamba au ccm na selikali yake ni shujaa juu ya hilo? mimi sikubaliani kunadesituli inatuumiza sana watendaji wa selikali wakiiba mali za uma wengini huhamishiwa wengine ndo kama hivi wanajivuwa gamba akiwa amejilimbikizia mali selikali tuiwajibishe r a asipo pelekwa mahakamani na kuludisha kodi zetu alizo tuibia selikali ya ccm bira maandamano haiendi hili halina ubishi sikwamba na chochea vurugu ninauchungu na mali zetu zinavo liwa na wa chache wa naendelea kulindana pulesha ya maandamano ndo iliyo fanya kuanza kujivuwa magamba tusikubali wasiishie kujivuwa gamba tuu wapelekwe mahakamani tz tuamuke