Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

Hakuna vita mbaya duniani kama mapigano ya mtaa kwa mtaa ( sreet fighting), hasa kama adui yako anafanana na raia.
Israeli ndiyo nchi ya kwanza duniani yenye mbinu bora zaidi ya mapigano ya aina hiyo.
Hata hivyo, Hamas ni jeshi kubwa lililokuwa na uwezo wa mbinu nyingi, silaha lukuki, nk. Ila kwa sasa ni kwishney. Ni wiki ya tatu sasa bila kuona rocket au guided missiles zozote zikirushwa kutoka Gaza kwenda Israel.
Muangalieni huyu
Haya hamas ipo namba ngapi kwenye takwimu zao
Ila kama hujui jana tu hapo rockets zimerushwa kuelekea israhell
Tena hazijatoka popote zimetoka pale pale kaskazini ambapo ndio mpakani kabisa na utawala haramu wa kizayuni wa israhell
Sasa sijui unasema wiki tatu zipi?
 
Hakuna haki inayopiganiwa na wapalestina,eneo Hilo ni Mali ya Wayahudi tangu alivyolotwa Joshua baadae Daudi na wafalme wote wa Israel walitawala hapo .Wapalestina walikuja baada ya Wayahudi kuondolewa na warumi mwaka 100Ad na ndipo eneo lao likavamiwa na wagen ambao Leo mnawaita Wapalestina .
Kwahio 1948 ndio daudi aliwaeka hapo?
 
Muangalieni huyu
Haya hamas ipo namba ngapi kwenye takwimu zao
Ila kama hujui jana tu hapo rockets zimerushwa kuelekea israhell
Tena hazijatoka popote zimetoka pale pale kaskazini ambapo ndio mpakani kabisa na utawala haramu wa kizayuni wa israhell
Sasa sijui unasema wiki tatu zipi?
Mkuu, Taliban waliopigana na mmarekani kwa miaka kadhaa walikuwa wa ngapi duniani? TAMIL Tigers waliokuwa wakipigana na Jeshi la Sirilanka na Malaysia kwa miongo kadhaa nao unasemaje? Suala la kupigana na gaidi siyo lelemama,ila mwisho wa yote hushindwa.
 
Mkuu, Taliban waliopigana na mmarekani kwa miaka kadhaa walikuwa wa ngapi duniani? TAMIL Tigers waliokuwa wakipigana na Jeshi la Sirilanka na Malaysia kwa miongo kadhaa nao unasemaje? Suala la kupigana na gaidi siyo lelemama,ila mwisho wa yote hushindwa.
Sasa hoja yako hapa nini mkuu uloikusudia
Kama taleban haijashindwa maana ndio inayotawala Afghanistan au ulitaka kusemaje
Kupigana muda mrefu au mchache sio kushinda kushinda vita sio jambo jepesi
Hasa vita ambayo inapiganwa kwa uongo uongo kama hio ya hamas na israhell
Maana israhell alisema gaza kaskazini kaikamata ila anapigwa huko huko
 
Hakuna haki inayopiganiwa na wapalestina,eneo Hilo ni Mali ya Wayahudi tangu alivyolotwa Joshua baadae Daudi na wafalme wote wa Israel walitawala hapo .Wapalestina walikuja baada ya Wayahudi kuondolewa na warumi mwaka 100Ad na ndipo eneo lao likavamiwa na wagen ambao Leo mnawaita Wapalestina .
Kipindi cha utawala wa waingereza eneo hilo lilijulikana kama Palestine
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki
Hamas wametumia miaka na miaka kujenga miundombinu ya kijeshi, kujiimarisha kijeshi, kujiandaaa kimapigano, wakipewa misaada ya mafunzo ya hali ya juu, hasa FIBUA.
Haikuwa kazi rahisi na ya muda mfupi idf kuishinda hiyo vita.
Ukizingatia mbinu iliyotumiwa na hamas kuwawek raia nyuma yao, kwamba ili uwafikie lazima raia wafe wengi.
Hata hivyo kinachoonekana sasa ni dalili za hamasi kupoteza uwezo.
Ukiona jesshi, kikundi cha kijeshi kinapigana kiraia yaani wamevaa mavazimya kiraia , ni mooja ya ishara ya kuzidiwa,maana yake akitupa siraha anakuwa raia, ndiyo maana unasikiamwaliokufa ni raia siyo hamas.
Itachukua muda , idf watakufa kwa kuwa wanaviziwa na waliovaa kiraia , lakini hamas itashindwa.
Naamini hadi sasa makambi ya hamas au maficho ya mahandakimyaliyosalia ni machache kati ya mengi yaliyoharibiwa au kugunduliwa, eneo pekee lililokuwa salama kwao ni makambi ya wakimbizi, sasa wanafuatwa hukohuko. Ni swala la muda tu.
 
Shida ako huna Mme...na bahati mbaya jamaa aliyekuoa ni dini Ile alishapata mke wa 4 so hauna jipya wewe. Anakuona km bibi kizee...Cha msingi subiri bikra 72 ukazisage peponi. Islam is satan. Dini inaamini Kuna mapepo mazuri ...lol

Wanasema kuna majini wazuri. Wakati akiitwa jini huyo tayari ni malaika muasi. Atakuwaje mzuri wakati kaasi amri ya mkubwa wao?
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki

Kwa hiyo mungu wenu anawasimamia hao magaidi na majambazi
 
Mazayuni ujanja umewaishia, kwanza walikiondowa Ghaza kikosi chao kikali kuliko vyote kinachoitwa Golan baada ya kuchezea kichapo na kuona morali ya askari wao ipo chini sana. Wakaona kuendelea kuwaweka hao ni kuwaua tu, wakawaondoa.

Wakaleta kimya kimya kikosi kinachoitw "kfir", hiki ni kikosi cha chuki kwa Wakristo na Waislam ni kikosi cha kidini kinachoamini wote hao wa kuuliwa tu. Hawa ndiyo wakawa wanachezea kichapo kijinga kweli kweli wiki nzima hii.

Netanyahu kaona, umaarufu wake kisiasa unashuka, mabwana zake Wamarekani walishamwambia mwisho wa mwezi huu ndiyo basi. Hezbo;;ah huku inaendelea kuwafyatua kila kukicha.


Wayemeni nao wanaminya mishipa ya damu baharini huko.

Nahisi Mazayuni hawana ujanja na Hamas wamesema wao kila anaeikalia ardhi yao ni halali yao.
News from Slave of Allah... uongo uongo tu... kichapo mnatapatapa hadi kiama.. Israel kiboko yenu... Islam is a serpent na Mudy alisema utarejea kwenye shimo lake kama ulivyotoka humo shimoni...
 
Juzi hapa walisema hata iweje hamna kukubali chochote kisichohusu Israel kuondoka Gaza, ila Israel wakasema hamna kitu kama hicho na kwanza wakaongeza mapigo. HAMAS sasa wanasema basi sawa jameni wapewe wafungwa wao tu wataachia mateka 40
========================

Hamas negotiators have waived the condition of a final ceasefire and the withdrawal of IDF soldiers from Gaza in their ongoing talks with Israel for a second hostage release, according to a report by the Arab World News Agency (AWP), citing sources in Hamas.

"The five-way talks between Egypt, Qatar, the United States, Israel, and Hamas are ongoing, but so far no agreement has been reached," the source told AWP, adding that talks have "accelerated significantly in recent hours," with "Cairo and Doha making persistent efforts."

The terrorist group is now open to the release of 40 hostages in exchange for 120 prisoners held by Israel, the report said, adding that Hamas had demanded a one-day ceasefire in exchange for each hostage released, but Israel refused.
Uongo mtupu, hujaona mazayuni toka juzi wanaondowa vikosi vyao Ghaza kwa kichapo wanachochezea?
 
Shida ako huna Mme...na bahati mbaya jamaa aliyekuoa ni dini Ile alishapata mke wa 4 so hauna jipya wewe. Anakuona km bibi kizee...Cha msingi subiri bikra 72 ukazisage peponi. Islam is satan. Dini inaamini Kuna mapepo mazuri ...lol
Jamani jamani
 
Mazayuni ujanja umewaishia, kwanza walikiondowa Ghaza kikosi chao kikali kuliko vyote kinachoitwa Golan baada ya kuchezea kichapo na kuona morali ya askari wao ipo chini sana. Wakaona kuendelea kuwaweka hao ni kuwaua tu, wakawaondoa.

Wakaleta kimya kimya kikosi kinachoitw "kfir", hiki ni kikosi cha chuki kwa Wakristo na Waislam ni kikosi cha kidini kinachoamini wote hao wa kuuliwa tu. Hawa ndiyo wakawa wanachezea kichapo kijinga kweli kweli wiki nzima hii.

Netanyahu kaona, umaarufu wake kisiasa unashuka, mabwana zake Wamarekani walishamwambia mwisho wa mwezi huu ndiyo basi. Hezbo;;ah huku inaendelea kuwafyatua kila kukicha.


Wayemeni nao wanaminya mishipa ya damu baharini huko.

Nahisi Mazayuni hawana ujanja na Hamas wamesema wao kila anaeikalia ardhi yao ni halali yao.
Hizi stori mnazodanganya huko msikitini
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki
Inachukua miezi mingi kwa sababu Hamas wanajichanganya na raia wanavaa kiraia sasa Israel inapata wakati mgumu kuwapiga ikipiga kila raia malalamiko ya wafia dini yatadhidi Israel ikitumia nguvu zake zote wapalestina watakufa kama kuku maana Hamas wanawatumia raia kama ngao
 
Back
Top Bottom