I LOVE GIRLS
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 857
- 1,320
Nani anafanya management ya kazi zake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmmmhNaona aliunganishwa kweli kile chama kilichotaka kumchukua mama Kanumba
hatareeeeh sana lolUsikute sponsor wake ni mwanaume mwenye wadhifa maana jamii ya Sasa imejaa uozo sana
Alishinda milioni 50 hapa Bongo, kisha akaenda hatua inayofuata ambapo alishinda record deal, mentorship na zawadi inayozidi dola laki 5 za kimarekani (mwaka 2015)Jamaa alishinda shindano lilioandaliwa na Akon afrika akala mils sijui 100 akafanya ngoma naye miaka kadhaa nyuma lakini wabongo kama hatuoni vile
Mkuu dolar lako tano kwa exchange rate ya sasa ni aboit bilioni 1.1 za kibongo, that cannot be true.alishinda milioni 50 hapa Bongo, kisha akaenda hatua inayofuata ambapo alishinda record deal, mentorship na zawadi inayozidi dola laki 5 za kimarekani (mwaka 2015) sasa hapo cash alikusanya ni nzuri coz kivyovyote vile haipungui m kama 300 hivi za kibongo ukiachana na hizo gharama nyingine
Ila watu wa Jf mmesha changanyikiwa saa kila kitu tafta pesa, ujinga gani huo, mwenye pesa hafi, kwamba mwenye pesa hazeheki, mwenye pesa haendi chooni kukata gogo kama wengine, acheni ushamba
Mayunga na Maua wanakula mapapai na wine...
Naunga hojaNaona aliunganishwa kweli kile chama kilichotaka kumchukua mama Kanumba
Palefu ,..na naipenda ile nyimbo yake sana.Alishinda milioni 50 hapa Bongo, kisha akaenda hatua inayofuata ambapo alishinda record deal, mentorship na zawadi inayozidi dola laki 5 za kimarekani (mwaka 2015)
Sasa hapo cash alikusanya ni nzuri coz kivyovyote vile haipungui m kama 300 hivi za kibongo ukiachana na hizo gharama nyingine
khaaaaahHizo bata ziko wapi? Ni hizo picha mbili za location moja.!
Mayunga hana maajabu yoyote kwenye muziki, kufanya ngoma na Akon tena kipindi Akon alishakwisha sio kigezo…. kwa maana kuna watu wameimba na R Kelly, Ne-Yo, Rick Ross na hakuna lolote.
Mayunga ana stress tu kama yule Hawa wa Nitarejea, labda kama anaishi huko Marekani kwa kuimba kwenye besidei za watoto kama Damian Soul.