Mayele alifunga goli safi ktk mechi na Geita (Mkapa stadium), likakataliwa. Meshi na Mbeya city (Mkapa stadium) alikuwa denied nafasi mbili za wazi kwa uamuzi mbovu wa refa. Leo pia, kilichotokea kinafahamika.
Ni wazi kuwa maamuzi hayo yameathiri matokeo ya timu yake na ya kwake pia. Ameonewa sana
Ni wazi kuwa maamuzi hayo yameathiri matokeo ya timu yake na ya kwake pia. Ameonewa sana