Hivi wewe kweli unajuwa historia weye! Hivyo vikundi vya kishetani vilisha shindwa miaka kenda. Sasa vinawavisha watoto mabomu? Hivi kweli hiyo ndio allah kawatuma au ndio umwamadi?
Hawakushindwa! wao ndio wamewatoa Israel Lebanon, Namna gani Bana, Mbona unajifanya mjuaji sana, Group ya kiislamu ya kweli (inayofauatia sheria ya kiislamu) haishindwi hata siku moja!, Nadhani wewe pia ni katika wale mayahudi weusi (Wewe ni Maxshimba), you are using two different usernames, am I right ?
Ndugu zangu Wakristo na Ndugu zangu Waislamu,
siku hizi wameenea kila sehemu mayahudi weusi hasa hapa TZ wapo, na nia yao na kazi yao kubwa ni kuwachonganisha wakristo na waislamu ili wasipatane, wanatumia kila njia ili wafanikiwe kutekeleza lengo lao hilo, wanatumia hata internet kueneza vitina zao hizo, hata humu.. wamo, wengine wanajifanya kama vile wakristo na kuanza kuwatukana waislamu, na wengine wanajifanya kama vile waislamu na kuanza kuwatukana wakristo, lengo lao ni kuweka chuki baina ya waumini wa dini hizi mbili zinazo karibiana sana katika imani zao, siwezi kuwataja kwa majina jamaa hawa lakini nyie wenyewe mtaweza kuwajua mkiwa mnapima maneno yao, kwa hiyo, kuweni waangalifu...
nawaomba waislamu na wakristo tuendelee kuishi vizuri pamoja kama mababu zetu walivyo kuwa wakiishi kwa mapenzi na kuheshimiana.
Sasa nimekuwa Maxshimba? Kweli huyo jamaa yangu mnamchukia. lol.
Your way of thinking and writting is the same as Maxshimba (I think you are Maxshimba) if you are not Maxshimba! I am sure you are coming from the mayahudi weusi group as Maxshimba.
He is my mental
Your way of thinking and writting is the same as Maxshimba (I think you are Maxshimba) if you are not Maxshimba! then I am sure you are coming from the mayahudi weusi group as Maxshimba.
Max Shimba Don't urge with...........people may not.......Wakuu, kwanza kabisa.
Kichwa cha habari ni cha lugha chafu. Wayahudi si Mayahudi kama ulivyo weka hapa.
Hivyo basi, kwa kusoma tu kichwa cha habari, mwenye akili timamu ataelewa ni nani hapa anachonganisha watu na mwenye lugha chafu.
Igunga: Yesu Kristo ambaye ni Mungu wangu, akurehemu, ili siku moja uweze kufahamu njia iliyo ya kweli ambayo ni yeye mwenyewe Yesu Kristo.
Mwisho,
Yesu Kristo ni Mungu na anawapenda wote, so do I.
Karibuni kwa Yesu Kristo, mlango upo wazi.
Katika huduma yake,
Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ.
Max Shimba Don't urge with...........people may not.......
Naamini kuwa hoja hii haina miguu wa mikono.
kwanza kuwaita wenzio MAYAHUDI ni kosa kubwa sana. ni sawa na mimi nianze kuwaita watu MAARABU. wayahudi hawana kosa lolote hata kuwaita hivyo. dini yao ni nzuri, na Mungu wao ndiye Mungu wa kweli. Mungu wao sio allah wa a jini subiani. mleta mada ana chuki binafsi na wakristo na wayahudi. anataka kuwavuta waislam ili ionekane yeye si mdini, kumbe ni mdini wa kwanza. umelaaniwa wewe unayewatukana wayahudi. omba Mungu wao akurehemu pengine utapona.
Hoja hii ni muhimu sana, lazima watu wajue vitimbi vya wayahudi na propoganda zao.
Mimi ni myahudi mweusi. Bila uyahudi kusingekuwepo na Ukristo wala Uislamu. Tumewafundisheni dini na kuishi vizuri, bila dini mngekuwa mnakatana mapanga tu.
Jamani hivi mtaelimika lini huu nauita ujinga tena mkubwa tu! leo hii nikiuliza mchango wa Jews kwa watanzania vizazi na vizazi hawata sahau ,
udsm,bugando,muhimbili n.k
ukiulizwa mchango wa warabu nini zaidi ya kuwachukuwa wababu zetu na kuwapeleka arabuni kisha kuwa khani**(tusi) ndio maana hakuna waarabu wenye asili ya Tanzania.
Jews long long live.