May Be Disgusting: How Often Do You Poop? (Inakuchukua muda gani kupata Haja Kubwa?)

LadyRed

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
9,636
11,449
Since everybody poops...well how often do you?..the frequency.,

Mimi ni kila siku, kama sio kila siku basi ntaruka siku moja..

Uzi tayari.,

Wewe je.,
 
Since everybody poops...well how often do you?..the frequency.,

Mimi ni kila siku, kama sio kila siku basi ntaruka siku moja..

Uzi tayari.,

Wewe je.,
Wewe ni mgonjwa wahi hospital, yaani unakunya Mara moja kwa siku halafu siku nyingine hakuna!
 
Swali la msingi . Binafsi nimegundua nikinywa maji ya kutosha kama 2litres na kuzidi napata kila siku ila nikiwa mvivu kunywa maji hata siku 3 zinapita.
 
Swali la msingi . Binafsi nimegundua nikinywa maji ya kutosha kama 2litres na kuzidi napata kila siku ila nikiwa mvivu kunywa maji hata siku 3 zinapita.
MaJi na ufanyaji wa mazoezi huwa inachangia kurahisisha upataji wa choo kikubwa
 
Maji ni muhimu sana kwenye miili yetu hasa linapoja hili suala la kutoa taka na sumu mwilini,mtu yeyote mwenye afya na anakunywa maji mengi.lazima atapata choo vizuri kila siku.

Hivi mtu ukikosa choo siku tatu na chakula unakula vizuri,unapata nguvu za kutembea kweli.maana mwili usipotoa taka unaishiwa nguvu.
 
Swali la msingi . Binafsi nimegundua nikinywa maji ya kutosha kama 2litres na kuzidi napata kila siku ila nikiwa mvivu kunywa maji hata siku 3 zinapita.
Siku 3? Kuna tatizo hapo? Mara 2 kwa siku ni fea.
Kuna watu wanapata mara 1 kwa wiki. Nimeshuhudia case kama hizo 2, moja ni ya mtu mzima kidogo, umri kama 45, yeye alienda wiki akaona sio kawaida, akaenda hospitali ya wilaya, akawekwa kwenye kiti kama kile cha kuwakalisha wajawazito wakati wa kujifungua, wakaingiza sindano na kumchoma ndani huko, wamemaliza ru akakimbilia chooni.

Mwingine ni mtoto mdogo, miaka 5, imemsumbua sana kabla haijagundulika, kwa wiki anapata choo mara moja, alikuwa akisumbuliwa na kuumwa tumbo, homa na kutokula. Baada ya mavipimo mengi ya gharama, ikaonekana sehemu ya utumbo haifanyi kazi, hivyo uchafu unapofika pale, ni mpaka nyuma ya hiyo sehemu ijaye ndo utokee msukumo wa kupitisha uchafu pale kutoa nje. Wamesema suluhu ni ama awekewe mfuko wa choo nje baada ya operation au aendelee kukua akifuata masharti ya misosi aliyoshauriwa.
 
Siku 3? Kuna tatizo hapo? Mara 2 kwa siku ni fea.
Kuna watu wanapata mara 1 kwa wiki. Nimeshuhudia case kama hizo 2, moja ni ya mtu mzima kidogo, umri kama 45, yeye alienda wiki akaona sio kawaida, akaenda hospitali ya wilaya, akawekwa kwenye kiti kama kile cha kuwakalisha wajawazito wakati wa kujifungua, wakaingiza sindano na kumchoma ndani huko, wamemaliza ru akakimbilia chooni.

Mwingine ni mtoto mdogo, miaka 5, imemsumbua sana kabla haijagundulika, kwa wiki anapata choo mara moja, alikuwa akisumbuliwa na kuumwa tumbo, homa na kutokula. Baada ya mavipimo mengi ya gharama, ikaonekana sehemu ya utumbo haifanyi kazi, hivyo uchafu unapofika pale, ni mpaka nyuma ya hiyo sehemu ijaye ndo utokee msukumo wa kupitisha uchafu pale kutoa nje. Wamesema suluhu ni ama awekewe mfuko wa choo nje baada ya operation au aendelee kukua akifuata masharti ya misosi aliyoshauriwa.
Nimewahi kuulizia yeah ni tatizo na ndio maana najitahidi kunywa maji plus mboga mboga kwenye msosi, nimejijulia zikipita siku 2-3 nashtuka kuna sehem nilizembea haswa maji.
 
Back
Top Bottom