Hahahaaaa!! Hilo ombi lako mbona kama sijalielewa!
hembu dadavua kidogo hapo mpendwa! Nami naulizia hivi kuna mwenyewe au nawe bado upo kwenye maombi ya kupata Mume
Upendo upo na nina enjoy kabisa ila tu nikiona mambo yamekuwa cheusi chekundu najua ndo mwisho wa kuenjoy umefika inabidi nienze maisha mapya.yan siwezi kuingia popote kwa asimilia hawa wanaume tucheke nao tu kwakwel my dear nlipata maumivu yaliyodumu miaka miwil katika moyo saiv sina hamu nao kabisa nawapa 50% tu
Lilymashy Mungu akupe mime mwema na mwenye mapenzi mema, mie pia Niko kwenye maombi kwa mwaka ujao nipate mume mwema najua Mungu atatenda maajabu kwetu. Cha msingi usichoke kumuuomba Mungu nae atatenda kwa wakati wake.
Hahahaa, sasa na mimi nimeweka ombi langu walau maana ombi la ndoa mwaka 2016 halipo kwenye bichwa langu, na naona hapa watu wanaanza novena😂😂😂😂😂
It Takes Two to Tango...., Uvumilivu on your Part na Busara zinaweza kumbadilisha hata yule so Called sio Mwema na kuwa a Partner, Cha muhimu tafuta mtu ambae sio Kero kwako na tabia zake zinaweza kuvumilika kwako..., Kumbuka unatafuta partner wa kusafiri kwenye mabonde na milima hivyo you need someone you can lean on as well as when needs be he can lean on you, ukimtendea wema hata kwa mabaya yake you will have done your kama muhimili wa familia
Hahah kuumizwa kupo mshenga mie pia binadamu natumia moyo sio battery....
Mimi na atoto hatulilii ndoa,ndio maana atoto wangu yupo busy na pesa mimi niko busy na mambo yangu sitaki maumivu 2016
Yaani pesa ije ije nyingi hadi nishangae, God bless me more, ila zaidi anipe hekima.
mume nipo hapaYan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja kutoa feed back humu December 2016.. najua kuna wanawake wenzangu ambao nao wanaomba iwe hvo..hamna namna nyingine zaid ya kupiga goti kwa Mungu atupe waume na wake boraa..ila huu mwaka ntadili na Mungu vizuri ipasavyo kwa maana amesema tumuite nae ataitika na atatuonyesha mambo makubwa makuu tusioyajua.natarajia mema!
Asante,nilishapoa na kupona kabisa,ndoa haiji bila kudate kwanza..alafu ukishaanza mambo ya ndoa utajikuta kila unaeanza nae mkikwaruzana unachanganyikiwa ndoa haipo
Mimi naomba foundation ya relationship kwanza iwe nzuri hayo mambo ya ndoa yapo tu sina haraka.....
Amen my dear,2015 tulipanda 2016 tukavune,Mungu bariki kazi za mikono yetu,ukatupe kibali mbele ya macho ya watu wako
Merry xmas atoto Heaven Sent everhurt.....
Mmmhhhhmmmm... Be patient dear... Thanks..
Amen my dear,2015 tulipanda 2016 tukavune,Mungu bariki kazi za mikono yetu,ukatupe kibali mbele ya macho ya watu wako
Merry xmas atoto Heaven Sent everhurt.....