Maximo alizoea timu ya Taifa ambayo alikuwa na wigo mpana wa kuchagua wachezaji, sasa nyie mnataka kusajili 30 tu halafu ndo awe anaogelea kwenye idadi ndogo namna hiyo huyo ndo mtamfukuza kabla hata msimu haujaisha, wanaosema wachezaji walikuwa hawajui kupiga pasi mnaongelea wachezaji gani, humu humu kuna uzi unaongelea malegend kama Masha, sana sana alimtoa tu Tegete inabidi aongezewe mkataba tena ili aendane na Maximo. Wachezaji wengine mnaotakiwa kusajili ni kina Dihile, Mwarami, Henry Joseph, Ivo na wengine vipenzi vya Maximo, namuonea huruma ndugu yangu Chuji lazima apigwe benchi, akija na kiingereza chake kile, I want players who are patriotic, displined and Young that can determine the future of Dar Young Africans Club, huku nyie mshachukua mijamaa ina miaka kibao.