JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,240
- 5,658
Napenda kuwajulisha kuwa hali iliyotokea katika ofisi zetu mchana wa leo imesharipotiwa, na mamlaka husika zinachukua hatua stahiki. Nitaendelea kuwataarifu kwa hatua zitakazofuata.
Hali hii haijaathiri shughuli zetu, miundombinu, wafanyakazi wala mali za taasisi.
Nawashukuru wadau wote waliowasiliana nasi kutupa pole, waliopaza sauti kwa niaba yetu na hata kutaka kujua wanaweza kutoa msaada wa aina gani.
Kilichotokea Mchana: Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni zimevamiwa