STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,209
Wewe kama nani mpaka umpangie Max muda wa kusign wasanii awatakao?Wana muda kwenye hiyo Label?
Wamesaidiwa vipi kujitangaza na kusikika?
Mbona kila siku anasikika Young D tu?
Unaweza kunitajia ngoma zako kali zinazoelewaka hao uliowataja hapo juu?
Unaniuliza unamjua fulani unamjua fulani kwanini ukuniuliza kama namjua Young D?
Kwanini Hao unaonilazimisha niwajue hawapo hata kwenye nusu ya level za Young D?
Ukijiuliza hivyo utajua kuna shida mahali.
Vitu vingine havikwepeki na huwezi kutumia nguvu kubwa kuvikwepa labda kuwe na tatizo mahali.
Unamsaidia hata majani ya chai??
Sasa usipangie watu cha kufanya huo ni ushamba kiwango cha changarawe,
Sasa skiza, Ukimtoa Young D, wasanii wote waliobaki akiwemo Max( max nae ni msanii wa mdb kama ulikuwa hujui) huimba pamoja, so lile ni kundi kama unavyoona Yamoto, Yeye ndio ameamua iwe ivyo, wasanii wengine wawe wanatoa nyimbo kwa kundi alafu wengine wawe wanaimba kote( solo & group)
Na kuhusu nyimbo zao nimeshazitaja nyingi tu, ila kwakuwa wewe sio mfuatiliaji wa muziki basi baki na Ujinga wako,
kwanza MZARAMO NA MUZIKI WAPI NA WAPI, bro hii sio singeli.