Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Yaani kila akitokea naibu waziri au waziri ukimuangalia amepooooza...mpaka basi. sasa tusubiri PM atasema nini...
Kama mawaziri wamepooza basi si muda mrefu pm atalia kama kawaida yake!!!
Hawajapata "supu."
Baraza linavunjwa,
nani kurudi nani kuingia ndo kitendawili
Hawajapata "supu."
.
Walahi leo supu haitaenda tumboni zaidi ya kupanda kichwani. Na kama ikishuka tumboni itakuwa ni kupita tu kwani tumbo la kuharisha ni hapo hapo. Usicheze na kitu uongozi ni dhamana. Nakuhakikishia kuna mawaziri walikuwa na mawazo ya kuishi wao na familia zao katika miji mikubwa ya nchi zilizoendelea tena kwenye nyumba walizonunua. Lakini kwa sasa kuna mtazimo tofauti katika mawazo yao. Wanawazia kati ya kijijini walikozaliwa na tandale kwenye nyumba ya kupanga ni wapi patakuwa bora kwake kuishi.
.
wana jf uzushi hamuachi. nani kakwambia baraza la mawaziri linavunjwa? majungu tu. nani atakayevunja. huyuhuyu ninayemjua. hapa tunavuta muda kijanja alafu tunaondoka kimyakimya. hakuna kuvunja baraza, hakuna kujiuzuru, hakuna kauli ya PM bungeni wala hakuna kusikiliza hoja ya zito wenu kwakuwa it is invalid. hamtujuiiiiii siye?