johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,830
- 145,835
- Thread starter
- #21
Ufisadi ulithibitishwaje?Unazungumzia kuhojiwa au waziri aliekuwa mkristo kujiuzulu kwa ufisadi? acha kuchanganya mambo
Ufisadi ulithibitishwaje?Unazungumzia kuhojiwa au waziri aliekuwa mkristo kujiuzulu kwa ufisadi? acha kuchanganya mambo
Baada ya kujiuzulu kwakeUfisadi ulithibitishwaje?
Hapo umekosea maana aliyewaweka hapo hakua muislam wala hajawaweka kwa kigezo cha dini.Wote waislamu walipewa uwaziri kwa sababu ya dini ,eti dini ya haki ,iko Wapi?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini mvaa kobazi weweLowassa ni mwenyekiti wa mtaa? wewe kweli bolizozo
ChengeWote waislamu walipewa uwaziri kwa sababu ya dini ,eti dini ya haki ,iko Wapi?
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya!Baada ya kujiuzulu kwake
Wewe ni kiazi Tibaijuka na muhogo, Magufuli na Richmond wapi na wapi?Chenge
Tibaijuka
Muhongo
Hayati
Mtozogulu
Hawa mapapa Wanatoka mkoa gani wa pwani
unateseka ukiwa wapi? kondoo wa bwanaUnaona ulivyo kichwa mavi so mwakyembe naye alikuwa fisadi,hujui hata mchunguzi alikuwa nani mchuzwa alikuwa nani , nimekeambia leta idadi ya mawaziri waliojiuzulu nikutajie wavaa kobazi wenzako
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Ujenzi katokea wapi?Kwamba Hilo ongezeko la ununuzi WA ndege limetokea pwani.???
jibu acha kurukaruka !Wewe ni kiazi Tibaijuka na muhogo, Magufuli na Richmond wapi na wapi?
Kulikuwa na Mazuri Karamagi na Dk Ibrahim Msabaha
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamewatimua wasukuma wa watu kwa chuki,Sasa wavaa kobasi sijui atafanyaje sasaIkumbukwe kuwa mh Kambaya wa Chadema ndio kapewa jukumu maalumu la kukiimarisha Chama kanda maalumu ya Mwambao wa Bahari ya Hindi
Sasa mh Kambaya ukiisoma Ripoti ya CAG utagundua Mawaziri kutoka Tanga, Pemba, Unguja, Pwani na Lindi ndio wamemulikwa zaidi na CAG kwa Ufisadi mkubwa ulifanyika Kwenye Taasisi wanazosimamia
Tafadhali mh Kambaya Washa moto na tuuone kweli unawaka kipetroli siyo kiasali
Sabato Njema!
Hakuna alosema ktk hyo ripoti hakuna mkristo ila anasema WENGI wanatoka pwani.Endelea kujizima data , Lowasa alijiuzulu baada ya Mwakyembe na kamati yake kuja na majibu ya uchunguzi , sasa nakuuliza Mwakyembe alikuwa mtu wa pwani? hakuna cha kusingiziwa wala nini Lowasa alikuwa mwizi kama wezi wengine na alikuwa Mkristo
Wewe hamna kitu kabisa unaakili za kuvukia barabara tu na una utoto mwingi,CCM haiwezi kutenganishwa na ufisadi,na hakuna mwanaccm msafi kuanzia wewe mpk msukumaWewe ni kiazi Tibaijuka na muhogo, Magufuli na Richmond wapi na wapi?
Kulikuwa na Mazuri Karamagi na Dk Ibrahim Msabaha
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka watu wote tuvae moka , bolizozo wewe
Ebu fatilia vizuri nani nimemjibu na kipi alikiandikaHakuna alosema ktk hyo ripoti hakuna mkristo ila anasema WENGI wanatoka pwani.
Andika vizuri haraka ya wapi? Tibaijuka bibi wa pesa ya Mboga na Chenge mzee wa visenti joka lenye makengezaWewe ni kiazi Tibaijuka na muhogo, Magufuli na Richmond wapi na wapi?
Kulikuwa na Mazuri Karamagi na Dk Ibrahim Msabaha
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyo kilaza hujui tofauti ya Richmond na tegeta escrow scandal mpwayungu village weweAndika vizuri haraka ya wapi? Tibaijuka bibi wa pesa ya Mboga na Chenge mzee wa visenti joka lenye makengeza