Mawaziri wa Ukanda wa Pwani ndio wameelemewa na Ubadhirifu ulioripitiwa na CAG. Kambaya wa CHADEMA anza na hawa!

Ikumbukwe kuwa mh Kambaya wa Chadema ndio kapewa jukumu maalumu la kukiimarisha Chama kanda maalumu ya Mwambao wa Bahari ya Hindi

Sasa mh Kambaya ukiisoma Ripoti ya CAG utagundua Mawaziri kutoka Tanga, Pemba, Unguja, Pwani na Lindi ndio wamemulikwa zaidi na CAG kwa Ufisadi mkubwa ulifanyika Kwenye Taasisi wanazosimamia

Tafadhali mh Kambaya Washa moto na tuuone kweli unawaka kipetroli siyo kiasali

Sabato Njema!
Mwigulu naye anatoka ukanda wa Pwani,. Bishwalo naye ni Mpemba? Jo hizi bangi unazovutia chooni zinakuwehusha bora uvutie kijiweni tu akili zikifyatuka tutajua tukusaidieje.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ulisema Richmond nilivyokupa list ya wavaa kobazi ukakimbilia tegeta escrow kichaa wa mwezi mchanga wewe

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimesema PM unasahau haraka sana wewe bolizozo, nimekutajia PM hili kukuonyesha kuwa wezi wapo kokote tu , PM Edward Lowasa alikuwa mkristo na alijiuzulu kwa kashfa ya upigaji, sasa akili yako ndogo unashindwa kukaa sawa unaanza kuangaika na vitu vya kipuuzi
 
Back
Top Bottom