Kweli mkuu kwani magezeti watu tumeisha soma sasa mambo ya kurudia yanini ni vizuri ndani ya JF tukapata habari mpya ambazo bado hazijatoka kwenye magazeti(za leo leo)
4 sure, mkulo bonge la mzigo tz, i wish jk atoe tamko ata kesho kuhusu iii mifisadi
Jamani, ata baloz wa ujeruman tz, ameshindwa watonya wenzie kua apa tz, k2 kidogo then mpango mzima
Pesa si zao, zinatolewa na WB kazi yao ni kusimamia malipo tu.
..huu sasa ni upuuzi.
..i dont care uko kwenye serikali ya CCM au CDM lakini mawaziri hawapaswi kulaumiana kwenye vyombo vya habari.
..huyu Magufuli ni domo kaya, hana nidhamu.
Tuwe wakweli hata kama mtu ana makando kando yake lakini Pombe Magufuli ni jembe, ni mtendaji haswaa! Wengi wanao mwandama au kumuhujumu, hasa viongozi wenzie, ni hofu juu ya uchapaji kazi wake. Tumwombe Mungu ili Jakaya amrudishe tena katika baraza la mawaziri hasa katika wizara aliyopo sasa au hata uwaziri mkuu.
Kibanga Msese
Ha ha haTuwe wakweli hata kama mtu ana makando kando yake lakini Pombe Magufuli ni jembe, ni mtendaji haswaa! Wengi wanao mwandama au kumuhujumu, hasa viongozi wenzie, ni hofu juu ya uchapaji kazi wake. Tumwombe Mungu ili Jakaya amrudishe tena katika baraza la mawaziri hasa katika wizara aliyopo sasa au hata uwaziri mkuu.
Kibanga Msese
Miaka 6 baadae, comment yako bado inaakisi tabia halisi ya jiweSasa kama serikali haina hela Magufuli analifahamu hili anategemea Mkulo afanye nini kama sio kujikosha kwa wananchi. Kwani akimsemea kwa JK kuna jipya litakalokuja au ni kujisemelesha kwa Magufuli ili wananchi tujue anafanya kazi akwende zake tushamchoka naye
Mkuu JokaKuu heshima kwako! Miaka 6 baadae..huu sasa ni upuuzi.
..i dont care uko kwenye serikali ya CCM au CDM lakini mawaziri hawapaswi kulaumiana kwenye vyombo vya habari.
..huyu Magufuli ni domo kaya, hana nidhamu.
Unasema?Magufuli kidume