Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Kuna tabia za viongozi wetu zinatia mauzi sana hapa Tanzania. Hawa mabwana wana tabia za kutopokea simu wala kujibu message. Unajuwa siyo mjifanye nyie ndio mko busy sana hata simu za wapiga kura wenu tena hamtaki kuzipokea. Mimi siyo mjinga ninanyue simu nikupigie simu wewe waziri, DC au RC kama sina kitu cha maana. Ndiyo maana productivity inakuwa mbovu katika shughuli zenu kwasababu mnakosa inputs za stake holders etc.
Mimi nafikiri si ustarabu kabisa na lazima mbadilike.
Na cha ajabu hii tabia huwa mna anza baada ya kuapishwa kabla ya hapo wala hamna shida tena ukibipiwa tu unapiga
Mimi nafikiri si ustarabu kabisa na lazima mbadilike.
Na cha ajabu hii tabia huwa mna anza baada ya kuapishwa kabla ya hapo wala hamna shida tena ukibipiwa tu unapiga