Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,582
Wanabodi,
Declaration of Interest
Jerry Murro, namfahamu vizuri, sio tuu kama mwandishi na mtangazaji mwenzagu, bali tangu alipokuwa UDSM, utangazaji wangu ndio ulikuwa inspiration kwake kuingia fani ya utangazaji, hivyo hapa namsifu sio kwa sababu namjua au kutaka kumfagilia, bali baada ya kumsikia delivaries zake Arumeru.
Angalizo
Kama wewe ni miongoni mwa wale mnaokereka, Magufuli, serikali yake au mteule wake yoyote akisifiwa, then nakushauri, uishie hapa ili usikereke na kuharibu mood ya siku yako asubuhi subuhi. Hapa nimesifu kitu nilichosikia tuu amesema na amefanya.
Japo namfahamu Jerry Muro akiwa mtangazaji wa TV na nilimuona kama bishoo fulani tuu, hivyo alipoteuliwa DC, nilidhani atapeleka ubishoo kwenye u-DC kumbe huyu jamaa, Jerry Muro ni jembe kweli, yuko vizuri, ni visionary leader mwenye uwezo, ana vision na mission to accomplish, ameonyesha uwezo, kipaji cha uongozi, na sasa anastahili kuwa RC, na akipewa u RC, atakuwa kama RC Antony Mtaka, ambapo nadhani hawa jamaa watendaji wazuri wote kwenye u DC na u RC, wanastahili kuingia Bungeni kumsaidi rais kwa karibu zaidi ndani ya cabinet ya 2020.
Tangu ameteuliwa DC, leo ndio kwa mara ya kwanza nimemuona na kumsikiliza anafanya nini Arumeru, kiukweli kabisa this guy is dam good!, ni mbunifu, ni mfuatiliaji, ni mtendaji sio tuu ni mtoa maagizo, bali mpima matokeo ya utekelezaji.
Amesema alipofika Arumeru, alikuta kuna tatizo kubwa ardhi, akatolea mfano kuna mgogoro wa kiwanja baina ya wajane wawili wa mume mmoja uliodumu kwa miaka 18 bila mashamba kulimwa, sasa amewapatanisha, wamepatana, wameshikana mikono na kukumbatiana, sasa mgogoro huo umemalizika rasmi na mashamba sasa yanalimwa.
Wale wenye nafasi angalie TBC saa hii, Jerry yuko hewani anatiririka, kwenye kipindi maalum cha 30 min kuhusu Maendeleo ya Arumeru, kiukweli kabisa I'm very impressed by hisi vision ya Arumeru anayoitaka, I wish kipindi hiki kiwe uploaded youtube, nikiweke mkisikiliza ndipo mtanielewa nasema nini humu, vinginevyo itaonekana kama promo kwa Jerry Morro. Na ingekuwa ni amri yangu, sasa tunapoelekea 2020, kila DC atengeneze kipindi cha 30 minutes kirushwe bure TBC kuonyesha ameleta maendeleo gani jimbo lake, wilaya yake, mkoa wake, ili 2020 kwa Wabunge, wananchi wawarudishe kwa merits za development landmarks. Na kwa ma RC na ma DC warudi wale tuu walioonyedha utendaji kwa vigezo vya kupima matokeo , results oriented outcomes na sio kwa utoaji wa maagizo.
Wakipatikana ma DC kama huyu 25 tuu, wakafanywa kuwa ma RC, tutapata kina Antony Mtaka wa kutosha mikoa yote!.
Kwa haya Jerry anayoyafanya Arumeru, kiukweli Mhe. Joshua Nasari, ama aunge mkono Juhudi kwa kujiunga nao, ama atafute shughuli nyingine ya kufanya past 2020. Na Jerry akiamua kugombea Hai, nashauri, ili kimuepushia aibu ya kushindwa, mbunge wa sasa wa Jimbo la Hai, namshauri asigombee, bali ampishe tuu kijana huyu mchapakazi kama Magufuli.
Paskali
Rejea za Wasifu wa Viongozi Mbalimbali.
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni - JamiiForums
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... - JamiiForums
Na hizi ni baadhi tuu ya Cheche za Jerry Murro Arumeru.TZ
1:48
Jerry Murro Atoa Maagizo Mazito Baada ya Kuapishwa Kuwa DC Arumeru, "Nimepigiwa simu sana"
6:13
Jerry Murro kawageukia Wakurugenzi na Waganga "Spidi yangu ni ya Dreamliner"
4:12
Update: Dc Muro aliamsha,mwekezaji kutaka kunyang'anywa eneo lake Arumeru.
0:31
Jerry Murro DC Arumeru.
5:56
Jerry Muro baada ya kuapishwa atoa agizo "Nitawabugudhi, Tanzania na Afrika itajua"
5:26
DC JERRY MURO ATEMA CHECHE KWA VIJANA ARUMERU.
13:18
Wananchi Arumeru wamtoa jasho Jerry Muro/ Kisa ..
9:27
Jerry Muro awasha moto wizi wa milioni 350 za TASAF/ Wawili jela yawaita
3:08
DC Jerry Muro: Ukimtia mimba binti wa Arumeru utateseka miezi tisa
1:23
huwezi kumtukana rais halafu nikuache :Jery Muro Mkuu wa Wilaya ya Arumeru"
0:53
Dc Muro apiga marufuku kampuni za udalali wa viwanja Arumeru
2:55
JERRY MURRO: MIMI NI MAKONDA MWINGINE SEHEMU NYINGINE / USEMAJI IKU
3:46
Jerry Murro Ukuu wa Wilaya Hauna Ubia ,Kimanta mtapata Tabu Sana
5:40
JERRY MURRO AMGEUKIA NASSARI, AMTUHUMU KUISHI GHOROFANI, KUTEMBELEA VX.
Jerry Murro “Atishia Kushawishi Kuvunjwa Baraza la Madiwani Arusha Dc “
27:31
MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MHE: JERRY MURO AKIONGOZA TAMASHA NA HARAMBE KKKT USA RIVER
2:03
Declaration of Interest
Jerry Murro, namfahamu vizuri, sio tuu kama mwandishi na mtangazaji mwenzagu, bali tangu alipokuwa UDSM, utangazaji wangu ndio ulikuwa inspiration kwake kuingia fani ya utangazaji, hivyo hapa namsifu sio kwa sababu namjua au kutaka kumfagilia, bali baada ya kumsikia delivaries zake Arumeru.
Angalizo
Kama wewe ni miongoni mwa wale mnaokereka, Magufuli, serikali yake au mteule wake yoyote akisifiwa, then nakushauri, uishie hapa ili usikereke na kuharibu mood ya siku yako asubuhi subuhi. Hapa nimesifu kitu nilichosikia tuu amesema na amefanya.
Japo namfahamu Jerry Muro akiwa mtangazaji wa TV na nilimuona kama bishoo fulani tuu, hivyo alipoteuliwa DC, nilidhani atapeleka ubishoo kwenye u-DC kumbe huyu jamaa, Jerry Muro ni jembe kweli, yuko vizuri, ni visionary leader mwenye uwezo, ana vision na mission to accomplish, ameonyesha uwezo, kipaji cha uongozi, na sasa anastahili kuwa RC, na akipewa u RC, atakuwa kama RC Antony Mtaka, ambapo nadhani hawa jamaa watendaji wazuri wote kwenye u DC na u RC, wanastahili kuingia Bungeni kumsaidi rais kwa karibu zaidi ndani ya cabinet ya 2020.
Tangu ameteuliwa DC, leo ndio kwa mara ya kwanza nimemuona na kumsikiliza anafanya nini Arumeru, kiukweli kabisa this guy is dam good!, ni mbunifu, ni mfuatiliaji, ni mtendaji sio tuu ni mtoa maagizo, bali mpima matokeo ya utekelezaji.
Amesema alipofika Arumeru, alikuta kuna tatizo kubwa ardhi, akatolea mfano kuna mgogoro wa kiwanja baina ya wajane wawili wa mume mmoja uliodumu kwa miaka 18 bila mashamba kulimwa, sasa amewapatanisha, wamepatana, wameshikana mikono na kukumbatiana, sasa mgogoro huo umemalizika rasmi na mashamba sasa yanalimwa.
Wale wenye nafasi angalie TBC saa hii, Jerry yuko hewani anatiririka, kwenye kipindi maalum cha 30 min kuhusu Maendeleo ya Arumeru, kiukweli kabisa I'm very impressed by hisi vision ya Arumeru anayoitaka, I wish kipindi hiki kiwe uploaded youtube, nikiweke mkisikiliza ndipo mtanielewa nasema nini humu, vinginevyo itaonekana kama promo kwa Jerry Morro. Na ingekuwa ni amri yangu, sasa tunapoelekea 2020, kila DC atengeneze kipindi cha 30 minutes kirushwe bure TBC kuonyesha ameleta maendeleo gani jimbo lake, wilaya yake, mkoa wake, ili 2020 kwa Wabunge, wananchi wawarudishe kwa merits za development landmarks. Na kwa ma RC na ma DC warudi wale tuu walioonyedha utendaji kwa vigezo vya kupima matokeo , results oriented outcomes na sio kwa utoaji wa maagizo.
Wakipatikana ma DC kama huyu 25 tuu, wakafanywa kuwa ma RC, tutapata kina Antony Mtaka wa kutosha mikoa yote!.
Kwa haya Jerry anayoyafanya Arumeru, kiukweli Mhe. Joshua Nasari, ama aunge mkono Juhudi kwa kujiunga nao, ama atafute shughuli nyingine ya kufanya past 2020. Na Jerry akiamua kugombea Hai, nashauri, ili kimuepushia aibu ya kushindwa, mbunge wa sasa wa Jimbo la Hai, namshauri asigombee, bali ampishe tuu kijana huyu mchapakazi kama Magufuli.
Paskali
Rejea za Wasifu wa Viongozi Mbalimbali.
Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni - JamiiForums
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... - JamiiForums
Na hizi ni baadhi tuu ya Cheche za Jerry Murro Arumeru.TZ
1:48
Jerry Murro Atoa Maagizo Mazito Baada ya Kuapishwa Kuwa DC Arumeru, "Nimepigiwa simu sana"
6:13
Jerry Murro kawageukia Wakurugenzi na Waganga "Spidi yangu ni ya Dreamliner"
4:12
Update: Dc Muro aliamsha,mwekezaji kutaka kunyang'anywa eneo lake Arumeru.
0:31
Jerry Murro DC Arumeru.
5:56
Jerry Muro baada ya kuapishwa atoa agizo "Nitawabugudhi, Tanzania na Afrika itajua"
5:26
DC JERRY MURO ATEMA CHECHE KWA VIJANA ARUMERU.
13:18
Wananchi Arumeru wamtoa jasho Jerry Muro/ Kisa ..
9:27
Jerry Muro awasha moto wizi wa milioni 350 za TASAF/ Wawili jela yawaita
3:08
DC Jerry Muro: Ukimtia mimba binti wa Arumeru utateseka miezi tisa
1:23
huwezi kumtukana rais halafu nikuache :Jery Muro Mkuu wa Wilaya ya Arumeru"
0:53
Dc Muro apiga marufuku kampuni za udalali wa viwanja Arumeru
2:55
JERRY MURRO: MIMI NI MAKONDA MWINGINE SEHEMU NYINGINE / USEMAJI IKU
3:46
Jerry Murro Ukuu wa Wilaya Hauna Ubia ,Kimanta mtapata Tabu Sana
5:40
JERRY MURRO AMGEUKIA NASSARI, AMTUHUMU KUISHI GHOROFANI, KUTEMBELEA VX.
Jerry Murro “Atishia Kushawishi Kuvunjwa Baraza la Madiwani Arusha Dc “
27:31
MKUU WA WILAYA YA ARUMERU MHE: JERRY MURO AKIONGOZA TAMASHA NA HARAMBE KKKT USA RIVER
2:03