Mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali waapishwa Ikulu, Dodoma

Sasa hili Jo linahusiana vipi na BAVICHA? au ulitaka kusema uvccm?
 
Katika mambo huwa siafiki Ni hizi teua teua ambapo Raisi anateua kwa kugawa ugali na sio uwezo wa mtu!
Matokeo yake ndio hayo, Leo anateua zen miezi kadhaa mbele anatengua! Hili Jambo halijawah kuwa sawa, haliko sawa na halitakuwa sawa, otherwise, means nyngne ifanyike Kama hawaitaki katiba mpya!
 
Waendelee tuu kumlinganisha na yule mropokaji wataisoma namba.
 
Ina maana kati ya wabunge 300+ wa CCM hakuna mwenye afadhali hadi Hangaya anakopa watu nje ya bunge?
 
Hongera HE Hangaya Samia Suluhu Hassan. Angalau kwa sasa tumeona nia yako ya dhati ya kuwa na baraza la mawaziri more inclusive na lenye sura ya Kitaifa, lakini lenye kuzingatia uwezo, uadilifu, na track record ya utendaji wa wateuliwa. Naamini tuendako wakati demokrasia yetu itakapoanza kunyanyuka tena mambo yatakuwa mazuri hasa uwakilishi wa vyama vingi bungeni. Bunge liwe bunge kweli. Kwa sasa hatuna bunge, tuna mikutano ya wanaccm, ACT Zbar na waunga juhudi za mwendazake. Tija ni ndogo sana kama wewe mwenyewe ulivyotamka. Isingekuwa ni gharama, tungewaza kukuomba ulivunje bunge tuanze upya. Lakini hongera unasonga mbele vizuri. Naamini mbeleni utapata Halmashauri kuu mpya, Kamati kuu mpya na Secretariat mpya ya chama unachokiongoza. Inshallah!
 
ishu ya kufokeana fokeana kama watotohumu maofisini huwa inaniuzi sana huwa natamani kumpiga ngumi mtu anayefoka foka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…