Mawaziri Lukuvi, Simbachawene, Manyanya hawakupita Form 6

Tatizo wewe mtoa mada hii hukumwelewa Ndalichako unaanza kukurupuka tu na kuanza kuwataja waheshimiwa bila kufanya uchunguzi walisoma mfumo gani wa elimu. Ndalichako kasema kama umefaulu vizuri form four ukaenda kusoma Ordinary Diploma/FTC katika vyuo vya Ufundi kama DIT ,TCA au MTC na ukafaulu vizuri huzuiwi kusoma degree utaratibu ambao unajulikana tangu mwanzo. Maana mtu anaweza pata division one au two aliyesoma Technical Secondary School /au Secondary za kawaida akaamua kwenda kusoma Ordinary Diploma/FTC na baadaye kuendelea Degree au kwenda kufanya kazi. Alichokataa mheshimiwa ni zile shule za kuunga unga kama vile form four failure kapata division four anaanza na foundation course, certificate ,Ordinary Diploma na baadaye Degree.Anachotaka mheshimiwa ni ule utaratibu tuliokuwa nao kama form four combination hazijakubali urudie tena mtihani upate pass za kukuwezesha kuendelea mbele.
Hapo iko sawa... maana bi mkubwa sikumuelewa kabisa...
 
Kaka nilivyoona jina la Lukuvi hapo kwenye heading mpaka nimeshangaa ninavyojua Lukuvi ni mwalimu wa UPE elimu yake darasa la saba mambo mengine serikali inajiabisha yenyewe bora ipige kimya tu.
Jamaa kaongea kwa uchungu
 
View attachment 441049 View attachment 441050

View attachment 441051
Kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge na vyanzo vingine mawaziri ''makini'' wa Baraza ''Makini'' la Magufuli hawakupitia kidato cha sita. Lakini mawaziri hawa wameaminiwa na kupewa vyeo vikubwa kutunga sera na miongozo. Kwa mujibu wa tamko-tetesi lililotolewa jana ya kwanza sisi watumishi-vilaza ambao hatukupitia form 6 na tuna Degree tutafute pa kwenda.
Namuomba Ndalichako, Baraza na Rais aanze na mawaziri hawa ambao wamepewa majukumu makubwa sana kuliko niliyonayo mimi hapa.
NB: Stella Manyanya ni Naibu waziri wa Elimu ambaye waziri wake alitoa tamko la hilo jana.
Mbowe alifaulu form six mbona amesoma chuo?!
 
OUT..... ni makanjanja. Lukuvi ana Masters!!!
Mimi nashangaa sana simbachawene kusoma pale OUT sheria,huku alikili yeye mwenyewe kwenye moja ya mahojiano yake na gazeti la raia mwema kua yeye alisomea umakenika veta baada ya hapo akawa kondakta wa magari, baada ya kuukwaa ubunge tuu mara akaibukia open university na kuanZa kusoma sheria.
Sijui kaujanja gani hapo kalitumika kusoma hiyo degree ya sheria.ndio maana kwenye issue ya escrow pale bungeni lissu alimburuza sana simbachawene hadi akifikia mahali pa kumwambia lissu ku ni you are a judge to be.
 
Mkulu kapiga six Mkwawa,cv yake inaonyesha hivyo
Nyakati zile ilikuwa unaenda A level plus Education kwa combination eg Chemistry, biology Na Education au Nutrition & cookery Na education. Ilikuwa unasoma 3years ukimaliza unakuwa mwalimu wa hayo masomo. Ahaa utaratibu huu ilikuwa the best mwalimu wa mkwawa alikuwa Cake. Siyo siku hizi za form6 na education ya vitini vya Nyambari Nyangwine.
 
View attachment 441049 View attachment 441050

View attachment 441051
Kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge na vyanzo vingine mawaziri ''makini'' wa Baraza ''Makini'' la Magufuli hawakupitia kidato cha sita. Lakini mawaziri hawa wameaminiwa na kupewa vyeo vikubwa kutunga sera na miongozo. Kwa mujibu wa tamko-tetesi lililotolewa jana ya kwanza sisi watumishi-vilaza ambao hatukupitia form 6 na tuna Degree tutafute pa kwenda.
Namuomba Ndalichako, Baraza na Rais aanze na mawaziri hawa ambao wamepewa majukumu makubwa sana kuliko niliyonayo mimi hapa.
NB: Stella Manyanya ni Naibu waziri wa Elimu ambaye waziri wake alitoa tamko la hilo jana.

Na Harison pia hakusoma Kidato cha tano na cha sita
 
Mimi nashangaa sana simbachawene kusoma pale OUT sheria,huku alikili yeye mwenyewe kwenye moja ya mahojiano yake na gazeti la raia mwema kua yeye alisomea umakenika veta baada ya hapo akawa kondakta wa magari, baada ya kuukwaa ubunge tuu mara akaibukia open university na kuanZa kusoma sheria.
Sijui kaujanja gani hapo kalitumika kusoma hiyo degree ya sheria.ndio maana kwenye issue ya escrow pale bungeni lissu alimburuza sana simbachawene hadi akifikia mahali pa kumwambia lissu ku ni you are a judge to be.
Ni ujanja ujanja tu.... ndo maana nchi haiendi,. Watu hawa wanawezaje kushauri.?
 
Hebu nisaidieni kuna mahala nishawahi kusikia kuwa manyanya ni electrical engineer na ndio kazi aliyokuwa anaifanya akiwa Tanesco kabla ya kuingia bungeni ila hapo kwenye hiyo caption anaoenekana kuwa kapitia education na sio electrical. Mwenye taarifa sahihi tafadhali atujuze. ..
 
Huyu Lukuvi hata seondary hakutia mguu kabisa kumbe??? Ndalichako atajutia kauli yake, inawarudia wenyewe. Hivi Nape alifaulu na January je???
Mpwa haya ndio maajabu yanayopatikana Tanzania pekee.
 
Wabunge ambao hawajafika kidato cha 4.,6 na hawana shahada ni wakati waende shule
 
Kumbe ndo maana mambo hayaendi ktk nchi hii! Maana vilaza wengi sana huko juu! Mbwe mbwe tu!
 
View attachment 441049 View attachment 441050

View attachment 441051
Kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge na vyanzo vingine mawaziri ''makini'' wa Baraza ''Makini'' la Magufuli hawakupitia kidato cha sita. Lakini mawaziri hawa wameaminiwa na kupewa vyeo vikubwa kutunga sera na miongozo. Kwa mujibu wa tamko-tetesi lililotolewa jana ya kwanza sisi watumishi-vilaza ambao hatukupitia form 6 na tuna Degree tutafute pa kwenda.
Namuomba Ndalichako, Baraza na Rais aanze na mawaziri hawa ambao wamepewa majukumu makubwa sana kuliko niliyonayo mimi hapa.
NB: Stella Manyanya ni Naibu waziri wa Elimu ambaye waziri wake alitoa tamko la hilo jana.
Kuna nchi hazina mfumo wa F6, wote huishia F4 then University kulingana na perfomance yako. Perfomance za hawa ni credible, let's look forward!
 
Back
Top Bottom