Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Nadiriki kusema mawaziri waliojiuzulu isipokuwa Nchimbi wameonewa.Mtu wa kwanza kujiuzulu au kuwajibishwa ni Jk kwa kuwa ndio amiri Jeshi mkuu,wa pili ni waziri mkuu- Pinda,Mkuu wa majeshi Davis Mwamnyange,IGP-Said Mwema.Kuwawajibisha Mawaziri isipokuwa Nchimbi ni kuwaonea tu kwani wao wanatimiza agizo kutoka juu. Hatuwezi kuwawajibisha bila kumgusa Pinda kwani tunawaonea ilitakiwa Pinda awajibike au awajibishwe!