MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,580
- 30,020
Kwasababu ya kubana matumizi!!Therefore, kutakuwa na kiwango kikubwa cha unemployment katika utawala huu wa Magufuli
Sasa hayo mahotel yanayo tegemea serikali ya nini!
Kwasababu ya kubana matumizi!!Therefore, kutakuwa na kiwango kikubwa cha unemployment katika utawala huu wa Magufuli
Hiyo kanuni umeitoa wapi #3? Hapa jf uandishi nilioufanya ndiyo umezoeleka. Hata wanaoandika maandiko ya kisomi mfumo ndiyo huo, itakuwa mimi machinga?Wewe unapaswa Ku quote post ilivyo
Wakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
CC:Yeriko Nyerere.Chama cha Machafuko ni kama sumu ya Nyoka zote zinauwa tafauti ni rangi tuu
Tujiandae mambo mengi ya JK yatarejea taratibu. Naupenda ule wimbo unaosema "CCM NI ILE ILEEE OOOH NI ILE ILEEEE....."
unajua kupanic maanake au ndo mazoezi ya kingereza mmeanza,Rudia kusoma
Kisha uache kupanic
Wakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
Ni bora hao mawaziri wakapewe job descriptions zao kwenye hiyo semina elekezi hapo kesho, kwa kuwa wengine walifikia mahali hawakuwa wanajua kabisa nini wanapaswa kufanya hadi wakageuka 'maaskari' wa kufunga mageti ya kazini kwao, kwa kile walichodai kuwa wanadhibiti wafanyakazi wachelewaji!
Hivi kweli wizara yote haina mtu wa kushughulikua nidhamu ya kuwahi kazini hadi mtu mwenye wadhifa wa Uwaziri kukaa getini na attendance register yake?!
Kweli hawa watendaji wa serikali ya awamu ya 5 pamoja na mkuu wao, mzee wa 'pushups' wanaweza kuingizwa kwenye Guiness World records kutokana na 'vioja' vyao!
Imekuwa vyema Magufuli ameligundua hilo na akaona awape semina hiyo elekezi ambayo angalau itawapa mwongozo wa utekelezaji wa majukumu yao.
Maana ilishafika mahali hata ukigongana na Bosi wako kwa 'mademu' wa mitaani, usije shangaa Bosi huyo kesho yake tu kakuvamia ofisini kwako na timu ya watu wa media, akibainisha makosa yako ya 'kufikirika' na hatimaye anahitimisha kwa kukutumbua jipu ambalo hali-exist!
Wakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
poleWakapewe nondo zaidi
Ili ufanisi uwe mziri
Na dressing code wasisahau.manake kina Mwigulu sijui nani kawaambia uvaaji ule ndiyo unaonesha utendajiWakati akitangaza Baraza la Mawaziri, Rais Magufuli alisema hakuna haja na hakutafanyika semina elekezi kwao na atakayeshindwa kufanya kazi bila semina elekezi ajiondoe mwenyewe.
Hata hivyo Ikulu imeona umuhimu wa semina hiyo na imeandaa semina elekezi kwa mawaziri wote. Semina hiyo inatarajia kufanyika kesho Alhamisi, Ikulu jijini Dar es salaam.
Tofauti ni kwamba semina elekezi ya JK ilifanyika Ngurdoto, Arusha lakini semina elekezi ya Magufuli inafanyikia Dar es salaam.
Inadaiwa waandaaji wa Semina hii ni Tume ya Maadili
Jamaa walizungusha mikono hadi leo bado akili zinazunguka tuuuu hadi wamechanganyikiwazungusha mikonooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Tatizo lilikuwa ni gharama huko ngurdoto....ila semina elekezi haina tatizo yenyewe kama yenyeweTujiandae mambo mengi ya JK yatarejea taratibu. Naupenda ule wimbo unaosema "CCM NI ILE ILEEE OOOH NI ILE ILEEEE....."
Hahahaah nadhani baada ya semina elekezi hii fukuzafukuza itapunguaNaomba tu wasiambiwe wapunguze kasi ya fukuzafukuza........ hakuna kuoneana haya hii nchi watu walidhani ni ya mjomba wao mzaa mama mdogo wake shangazi
Hebu sema na wewe. Yaani ni marufuku Mh. Magufuli kuongea na mawaziri wake haitakiwi. Halafu mbona ni kutumia akili ndogo ttu. Kisa cha kuongelea Semina elekezi lilikuwa ni nini? Kwa hiyo hiyo Alhamis wanaenda wapi Nguru doto. And yes hali ikizidi kuwa nzuri na utendaji wa kutukuka ukifanyika kwa nini usiwapongeze wafanyakazi wako?!?!?! Nachompendea Mh. Magufuli yeye ni mbele kwa mbele! Na lengo analolo=itaka litatimia la kuwanufaisha wanyonmge of course mlichonacho hamuoni kama kimetosha? kanma kuwaexploit wanyinge hamuoni kuwa imetosha sasa?!?!?!Semina Elekezi au Baraza la Mawaziri? By the way, Rais kukutana na wasaidizi wake kuwaeleza nini anataka haimaanishi kuwa hiyo ni semina