Mawaziri 5 bora 2016

hakuna waziri aliye Fanya vizuri labda mbarawa ambaye wizara yake inaongozwa na mwenye nyumba. wengine wote wameleta majanga kwa RAIA.
 
Sasa tunaelekea kumalizia mwaka huu wa 2016. wafuatao ndiyo bora zaidi kiutendaji " top 5" .... Hii ni kwa mtazamo wangu.

Mawaziri:

1. Mwigulu Nchemba
2. Nape Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Mbarawa
5.Ndalichako

RCs
1. Mrisho Gambo.......Arusha
2. Paul Makonda.......Dar
3. Amos Makalla.......Mbeya
4. John Mongella...... Mwanza
5. Anthony Mtaka.....Simiyu

Ma DC top 5 kwa 2016
1. Glorious Luoga......Tarime
2. Fadhili Nkurlu.....Kahama
3. Ali Hapi.......kinondoni
4. Kasesela.....Iringa
5. Ruth Msafiri.......Hanang
Ushamalizia dozi yako milembe au ulitoroka? Wanaougua vichaa kama wewe ndiyo huwa wanaandika upuuzi kama huu
 
He.....kumbe wwnafika watano...Mimi najua Mbarawa na Ndalichako tu.....labda na mhongo japo simpendi.
 
Ubora wao sio wa kiutendaji bali ubora wao unatokana kuwepo sana kwenye vyombo vya habari.
 
Nafikir hao ni mawaziri, maRC na maDC waliosikika zaidi kwenye vyombo vya habari....viongozi matamko. ( Huenda waliokaa kimya ndio wanachapa kazi kuliko hao)
 
We una hangover
Si zimebarikiwa
Uganda-Beer-Merger-Af_NH.jpg
 
Sasa tunaelekea kumalizia mwaka huu wa 2016. wafuatao ndiyo bora zaidi kiutendaji " top 5" .... Hii ni kwa mtazamo wangu.

Mawaziri:

1. Mwigulu Nchemba
2. Nape Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Mbarawa
5.Ndalichako

RCs
1. Mrisho Gambo.......Arusha
2. Paul Makonda.......Dar
3. Amos Makalla.......Mbeya
4. John Mongella...... Mwanza
5. Anthony Mtaka.....Simiyu

Ma DC top 5 kwa 2016
1. Glorious Luoga......Tarime
2. Fadhili Nkurlu.....Kahama
3. Ali Hapi.......kinondoni
4. Kasesela.....Iringa
5. Ruth Msafiri.......Hanang
Mnafiki ww
 
Sasa tunaelekea kumalizia mwaka huu wa 2016. wafuatao ndiyo bora zaidi kiutendaji " top 5" .... Hii ni kwa mtazamo wangu.

Mawaziri:

1. Mwigulu Nchemba
2. Nape Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Mbarawa
5.Ndalichako

RCs
1. Mrisho Gambo.......Arusha
2. Paul Makonda.......Dar
3. Amos Makalla.......Mbeya
4. John Mongella...... Mwanza
5. Anthony Mtaka.....Simiyu

Ma DC top 5 kwa 2016
1. Glorious Luoga......Tarime
2. Fadhili Nkurlu.....Kahama
3. Ali Hapi.......kinondoni
4. Kasesela.....Iringa
5. Ruth Msafiri.......Hanang
Hahahaaaa kwa sababu ya kuonekana kwenye vyombo vya habari. Bora katika lipi?? Huu ni mtazamo wa Kishirawadu.
 
Nachojua mimi ni rais bora wa familia yangu, punguza kujipendekeza mende
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom