twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
mawasiliano ni moja ya njia ya kudumisha mapenzi kwa sababu mawasiliano yanaleta ukaribu zaidi na inaonyesha hisia ni jinsi gani unavyomjali na kumpenda kuliko vle unavyokaa kimya bila ya mawasiliano na mpz wako inaonyesha huna ata hamu nae na hauna upendo kwake.