Nimenuna kwasababu ile sms yako ya usiku sikuipenda ndio maana. Na kwanini usinitafute mwenyewe uje hapa kunisema? Unajua bado nakupenda lakini ukimya wako naelewa kusudio lako.Aliumiza hisia zangu nikamwambia kuwa kuna kitu amefanya kimeniumiza. Amenuna, hanitext wala kupiga. Leo ni siku ya 5. Sijui ndo tumebreak up.
Sent using Jamii Forums mobile app
PoleNimenuna kwasababu ile sms yako ya usiku sikuipenda ndio maana. Na kwanini usinitafute mwenyewe uje hapa kunisema? Unajua bado nakupenda lakini ukimya wako naelewa kusudio lako.
Ndukiiiii![]()

Moyo ulikupiga kwanza ukadhania jamaa kweli eehh😉😆😆
Mkuu mi naona haya mapenzi bna hayatendi haki kwa watu tunao jari, wasiojari wanapendwa sana yan huez aminiGud! Wanaringa mno hasa wakiwa wanajiona bd wanadai that's y now days single mothers kibao!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Sorry mkuu mimi mpaka Leo hajawai kunipa jibu la kwanini yuko kimya mpaka umtafute wewe kwa vocha yako dunia simama nishuke