Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,653
Ukifanya hivyo utaachana na wengi,na mwisho wa siku unajikuta umetafunwa na watu wengi.
Ukifanya hivyo utaachana na wengi,na mwisho wa siku unajikuta umetafunwa na watu wengi.
Ukifanya hivyo utaachana na wengi,na mwisho wa siku unajikuta umetafunwa na watu wengi.
Acha zako nenda kwenye forum nyingine... Uliitwa hapaVijana tucheni mambo ya mapenzi tufanye kazi, mapenz hayalazimishwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yuko 30+ ni mtu anayejielewa mpe mwaliko,natumaini atafika na jaribu kusuluhisha kasoro zenuIngekuwa wewe ungefanyaje mpendwa. Mtu kafanya kitu hujapenda, umemwambia den instead ya kucommunicate muyamalize ,anakaa kimya tu. Yani kanipa silent treatment au lugha nyingine ni stonewalling. Sasa hiyo ni emotional abuse, nitavumilia hadi lini. Ingekua wewe ungemtafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yuko 30+ ni mtu anayejielewa mpe mwaliko,natumaini atafika na jaribu kusuluhisha kasoro zenu
Endelea kufikiriAliyeshiba lazima afikirie mapenzi,mwenye njaa inabidi afikirie kibarua/kazi
Daah nilikua najari sana, nnajiunga hadi dakika ma elfu na maelfu ili kila siku nihakikishe namjulia hali, najua yapi magum au mazuri yame mpata kwa siku ili tujue nivip yatatuliwe, yaan ilifika hatua nkawa naonekana namkera sasa, hatKi tena kuniskia kwanza nkipiga anapokea either anadai yupo bize au ananifoka kama mtotoKatika uhusiano wowote ule mawasiliano ndio nguzo kuu, je nini kilitokea mpaka ukaacha kuwasiliana na mtu ambae mlikuwa mna mawasiliano hai na yenye nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto bado unamsumbua,akikua ataacha.
ha ha ha ha ha
Mngekuwa mnachit kama shida sio mashine?
Mmh
Mngekuwa mnachit kama shida sio mashine?
Pesa si mnazo bana sasa kuna nn tena?
Inawezekana huo ni udhaifu wake hilo ni tatizo lkn ttz zaidi ni ww kutokujishusha kwan yee kanyamaza wee km unampenda na unajali mahusiano yenu y ucmtafute?selfish imeua mapenzi mengi mno! Km unapenda kubembelezwa nawe bembeleza in short usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio pia jifunze kujishusha mwenzio anapopanda huwez kua mtumwa na km mtu anajielewa atachange!take it or leave it as it is!Ingekuwa wewe ungefanyaje mpendwa. Mtu kafanya kitu hujapenda, umemwambia den instead ya kucommunicate muyamalize ,anakaa kimya tu. Yani kanipa silent treatment au lugha nyingine ni stonewalling. Sasa hiyo ni emotional abuse, nitavumilia hadi lini. Ingekua wewe ungemtafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Gud! Wanaringa mno hasa wakiwa wanajiona bd wanadai that's y now days single mothers kibao!Daah nilikua najari sana, nnajiunga hadi dakika ma elfu na maelfu ili kila siku nihakikishe namjulia hali, najua yapi magum au mazuri yame mpata kwa siku ili tujue nivip yatatuliwe, yaan ilifika hatua nkawa naonekana namkera sasa, hatKi tena kuniskia kwanza nkipiga anapokea either anadai yupo bize au ananifoka kama mtoto
Dah nilianza kuchoka mwanaume maana hata mim pia kazi nilkua nazo kibao ila I used to sucrifice atleatst a minute kumjulia hali ila mwenzangu akaniona boya,
Sasahivi ndo kwaaanza hata simuwazii, ntaish pekeangutu hivyo hivyo nshazoea, maans cmpaka kila mtu awe na mpenzi/mchumba,
"I will marry when I want"
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante but hiyo sio mara ya kwanza anafanya hivyo. Kujishusha na kubembeleza ni muhimu, lakini hadi kosa liwe lake mm ndo nijishushe, nahisi nimemzoesha vibaya. And imefika point amezoea kuwa nikimlalamikia ananuna alafu nitambembeleza den maisha yataendelea. Sidhani kama ni kitu kizuri. Ni kujengeana mazoea mabayaInawezekana huo ni udhaifu wake hilo ni tatizo lkn ttz zaidi ni ww kutokujishusha kwan yee kanyamaza wee km unampenda na unajali mahusiano yenu y ucmtafute?selfish imeua mapenzi mengi mno! Km unapenda kubembelezwa nawe bembeleza in short usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio pia jifunze kujishusha mwenzio anapopanda huwez kua mtumwa na km mtu anajielewa atachange!take it or leave it as it is!
Sent using Jamii Forums mobile app