pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Yaani auwawe chini ya ulinzi ?
Nabii tito yupo kweny kile chama cha mboga mbogaHuyu mfalme angesamehewa tu mbona ni type ya nabii Tito, kama vile dish limeyumba
Ile nundu unafikiri itamuacha salama yule dogo,akitoka gerezani ataamia ocean road kuchezea mionziHahahaha sabaya anapangua gia tu mara paap yupo uraiani
Wewe huna dhambi???, mbona wakina gwajima, kakobe na mwamposa ndo matapeli wakubwa lakini hawakamatwi tena mwamposa alitoa kafara ya damu zaidi ya watu 13 huko moshiNi vile dhambi ina asili ya kujirudiarudia, laiti angeacha hiyo dhambi mapema akamrudia Mungu yote haya yasingemkuta
Yesu mwenyewe sio mungu ....Acha kejeli mkuu!
Yesu ndo wa kumfananisha na zumaridi kweli!? Umetumia kigezo gani kufanya comparison?
Tuombe msamaha wakristo wote!
Alijisahau sana akaanza kudharau mamlaka ya kaizariSipati picha jinsi alivyochakaa kwa kukaa ndani miezi yote hii daaah Jela hakuna MAKE UP wala lotion *****,hatari sana
Tulia wewe mbona kama unataka kumsomea hukumu....huoni unaingilia majukumu ya Mungu?Acha kejeli mkuu!
Yesu ndo wa kumfananisha na zumaridi kweli!? Umetumia kigezo gani kufanya comparison?
Tuombe msamaha wakristo wote!
Kama sio mkristo nadhani ingefaa ukae kimya tu mana hujui ulisemalo.Yesu mwenyewe sio mungu ....
Ww ndio hujui uwe mkiristo au not ...all in all Yesu sio Mungu na hawezi kuwa mungu kamwe...Kama sio mkristo nadhani ingefaa ukae kimya tu mana hujui ulisemalo.
#MaendeleoHayanaChama
hahahaha ila wanaJF siku hizi mmegeuka comedians sana.Kunywa sumu ya panya
tema mate chini...hujafa hujaumbika....usimtukane mamba kabla hujavuka mto.....na usimtukane mkunga na uzazi ungalipo...Kawa mweusi tiii na vile ana sura mbaya😂😂😂
Du... ka mungu la mitaani sasa kamanza kuelwa kuwa yeye si chochote wala lolte.
Mawakili wa upande wa utetezi katika inayomkabili Mfalme Zumaridi na wenzake wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza kama itawezekana mteja wao awekewe ulinzi au ahamishwe katika Gereza Kuu la Butimba alililopo hivi sasa kufuatia kuwepo kwa taarifa za kuuawa kwake ndani ya gereza.
Ombi hilo la Mawakili wa upande limewasilishwa hii leo Juni 17, 2022, ambapo Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Monica Ndyekobora, akawataka Mawakili hao kufikisha malalamiko hayo kwa uongozi wa Gereza Kuu la Butimba kwa ajili ya hatua zaidi huku akiahirisha kesi hiyo hadi tarehe 30 ya mwezi huu.
Mfalme Zumaridi pamoja na wenzake wanakabiliwa na kesi ya kufanya mkusanyiko usio halali na imeanza kutolewa ushahidi ambapo leo hii shahidi namba moja ametoa ushahidi mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza.
Chanzo: EaTV