Father of All JF-Expert Member Feb 26, 2012 6,376 6,720 Aug 29, 2012 #2 Kweli mbele ya huu mtambo wa mauaji na kamera lazima iwe mavi debe. Mie naona mavi pipa maana inataka moyo si kawaida.
Kweli mbele ya huu mtambo wa mauaji na kamera lazima iwe mavi debe. Mie naona mavi pipa maana inataka moyo si kawaida.
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,988 2,011 Aug 29, 2012 #3 Sasa anaogopa nini wakati amesogea ili apige picha vizuri
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Aug 29, 2012 #5 Ameona anapigwa picha akiwa mbali kaona asogee karibu!
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Aug 29, 2012 #6 ...da, lazima ushuzi utoke..."pyuuuuuuuuuuu"
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,349 6,476 Aug 29, 2012 #7 Hapo alitakiwa kumpa jab badala ya kuanza kuduwaa na kukata tamaa!!! Kama hiyo gari haina top slide roof alifuata nini huko juu!!!
Hapo alitakiwa kumpa jab badala ya kuanza kuduwaa na kukata tamaa!!! Kama hiyo gari haina top slide roof alifuata nini huko juu!!!
ITEGAMATWI JF-Expert Member Jan 26, 2012 5,310 4,040 Aug 29, 2012 #8 Akome na kiherehere chake cha kutoka nje ya gari!Si alitaka apige picha vizuri haya apige sasa.