mavazii mengine banaaa

mavazii mengine banaaa

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,572
Reaction score
3,251
khaa!!inahamashishaa tigolaizetion..... nguo nyingine bana.jpg
 
Hapo kama Sansiro Club, huyo mtoto kwao katoka vipi jamani, aibu hii.
 
Huyu dada ana lake jambo,ama akili yake si nzuri,mutu mwenye akili timam hawezi kuvaa nguo kama hii,hata wazungu hawavai ivo.PUMBAVU ZAKE.
 
Hiyo ni blauzi na si gauni kama alivyovaa yeye. inapaswa kuvaliwa na nguo nyingine chini kama suruali au sketi. sasa mwenzangu na mie kaona kaupatia kweli hiii ni aibu......
 
Miaka 50 ya uhuru kauli mbiu ya magamba??...........tunasonga mbele masaburi fashion
 
msimlaumu sana huyo anatangaza biashara yake
Ya camerooni ama ya pungaa,au masaburi kama sikosei..!!!!Yameekaa vizuri lakinnniiii..tehee..Halafu mnasema wanawake wanabakwa...!!!wakati wapo uchi ni kuingiza tuu...
 
Back
Top Bottom