namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Binafsi huwa napenda Sana mavazi ya huyu Rais huwa yuko simpo Sana.
MselaBinafsi huwa napenda Sana mavazi ya huyu Rais huwa yuko simpo Sana. View attachment 1148488
Muhuni hadi raha, alafu kichwani zimo si umekaona hako kaandunje ka pembeni yake kanajifanya kana itikadi za kibabu alafu kanavaa kishamba shambaBinafsi huwa napenda Sana mavazi ya huyu Rais huwa yuko simpo Sana. View attachment 1148488
Kuwa na adabu. Hakuna gharama yeyote kumpa mtu heshima.Muhuni hadi raha, alafu kichwani zimo si umekaona hako kaandunje ka pembeni yake kanajifanya kana itikadi za kibabu alafu kanavaa kishamba shamba
Hivi hawa tausi si walikua magogoniChato kuna hekalu?kumbe
He enjoys life. Ruto ndio naona ana msongo wa pressureBinafsi huwa napenda Sana mavazi ya huyu Rais huwa yuko simpo Sana. View attachment 1148488
Mkuu usimbeze babu mheshimu, kwasababu na wewe Mungu akikuweka vizuri utakua hivo hivo.Muhuni hadi raha, alafu kichwani zimo si umekaona hako kaandunje ka pembeni yake kanajifanya kana itikadi za kibabu alafu kanavaa kishamba shamba
Ukivaa kama mzungu unakuwa mjanja na ukivaa vazi la kiAfrika unakuwa mshambaMuhuni hadi raha, alafu kichwani zimo si umekaona hako kaandunje ka pembeni yake kanajifanya kana itikadi za kibabu alafu kanavaa kishamba shamba
Ukitizama hiyo picha magufuli ndiye kavaa kizungu kaunda suti asili yake ni huko ila Kenyata ndio kavaa kiafrika alafu kapendeza zaidiUkivaa kama mzungu unakuwa mjanja na ukivaa vazi la kiAfrika unakuwa mshamba
Hizo story za kutishiana sijui Mungu huwa anafanya hivi na vile kwa wenye dharau ni zilipendwa.Mkuu usimbeze babu mheshimu, kwasababu na wewe Mungu akikuweka vizuri utakua hivo hivo.
Ndio maana kuna misemo; Hata babu alikua kijana.
Halafu Mungu alivokua wa ajabu, watu kama wewe wanaoleta dharau kwa mababu hua anawaweka mpaka waje kuuona ubabu jinsi ulivyo, yaani mpaka utatembelea mkongojo.
Nmecheka sanaMuhuni hadi raha, alafu kichwani zimo si umekaona hako kaandunje ka pembeni yake kanajifanya kana itikadi za kibabu alafu kanavaa kishamba shamba
Kumuheshimu mtu au kutokumuheshimu ni jambo binafsi hivyo usinilazimishe kama kusema ni kaandunje imekuuma basi nawewe uko hivyoKuwa na adabu...hakuna gharama yyte kumpa mtu heshima