Mavazi ya uchi na kubana limekuwa tatizo kubwa sasa hapa tz . Tabia hii ya mmomonyoko wa maadili, ilianza kidogokidogo na sasa imekuwa kama kawaida kwani mpaka kwenye nyumba za ibada wanakwenda na hivi vijisuruali mmbano[big G] bila hata ya woga. Swali langu. 1. TUFANYEJE ILI KUKOMESHA TATIZO LA KIMAADILI ? 2. NANI ALAUMIWE- serikali/jamii yenyewe.?