Mavazi haya ukivaa huna tofauti na kichaa

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
379
ed160ea6b9e6919ffcc2cd2b7a2e7a07.jpg
 
U
Ukiona mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake mrembo; ujue hizo Ni tabia za kishoga. Mwanaume rijali Na anaakili timamu hawezi mwambia mwanaume mwenzake mrembo eti anafaa kuowa. Hili Ni tatizo tena Ni kubwa Tu. Chukua hatua ndugu.
Nakuunga mkono Mkuu! Shoga ni wale wote wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja! Hivyo ukimtamani mwanaume mwenzio ujue na wewe ni shoga
 
Dah. Yaani unatoa hela kununua hayo matambara? Na unasema umenunua pamba kali?
Kuna walakini.
 
U
Ukiona mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake mrembo; ujue hizo Ni tabia za kishoga. Mwanaume rijali Na anaakili timamu hawezi mwambia mwanaume mwenzake mrembo eti anafaa kuowa. Hili Ni tatizo tena Ni kubwa Tu. Chukua hatua ndugu.
Kigwa njoo huku kuna mtu hana tofauti na yule kinyaa ulieagiza akamatwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom