Wazabanga kuku
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 264
- 379
Ukiona mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake mrembo; ujue hizo Ni tabia za kishoga. Mwanaume rijali Na anaakili timamu hawezi mwambia mwanaume mwenzake mrembo eti anafaa kuowa. Hili Ni tatizo tena Ni kubwa Tu. Chukua hatua ndugu.huyo wa mbona mrembo hivi anafaa kuolewa
unawashwaNdio fashion za ufipa hizi
Ndio fashion za ufipa hizi
Hii ni ya TZ
Hatar katika lango la timu ya yanga
Nakuunga mkono Mkuu! Shoga ni wale wote wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja! Hivyo ukimtamani mwanaume mwenzio ujue na wewe ni shogaU
Ukiona mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake mrembo; ujue hizo Ni tabia za kishoga. Mwanaume rijali Na anaakili timamu hawezi mwambia mwanaume mwenzake mrembo eti anafaa kuowa. Hili Ni tatizo tena Ni kubwa Tu. Chukua hatua ndugu.
Hahahahahaha au uliberaliniNdio fashion za ufipa hizi
Kigwa njoo huku kuna mtu hana tofauti na yule kinyaa ulieagiza akamatwe.U
Ukiona mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake mrembo; ujue hizo Ni tabia za kishoga. Mwanaume rijali Na anaakili timamu hawezi mwambia mwanaume mwenzake mrembo eti anafaa kuowa. Hili Ni tatizo tena Ni kubwa Tu. Chukua hatua ndugu.