Mauzauza ya usiku, nitamuua huyu mama

Kama ni Muislam, hakikisha sala zako za faradhi (tano kwa siku) hazikupiti na hakikisha unakuwa udhu saa zote na unapoingia kulala hakikisha una udhu na unasoma Qur'an japo sura tatu ndogo za mwisho kila moja mara tatu.

Mashallaah!!! Huu ni ushauri mzuri wenye busara!! Ila mbona ucku wa manane ulikua unachat tu? Shemeji kasafiri au?
 
Aliyeleta matatizo kwenye familia yenu sio uchawi ni mama yako, ndio maana mzee akaona bora ajuvutie kitu kingine atulize mawazo, baada ya kuona mama yako amezidiwa na bi mdogo kila dingi wako nao akiangalia kuanzia mapishi, mwendo wa maringo, kauli safi na usafi ndani ya nyumba kageuzia mapenzi kwa bi mdogo, nyie mnaona limbwata.

Hakuna Limbwata ni mapenzi tu. Hakuna mwanamme anaependa mwanamke mchafu, mwenye maneno ya kukera, asiyetulia kwake, asiyejua kupika. ena mzee mstaarabu angetoa talaka kabisa ajilie vyake kwa amani.
 
Naomba Mungu asiwatoe hapo nyumbani.... Ila awakingeni na huyo mwovu shetani..( sio mama yako Mdogo)
 
Siku nyingine matatizo yanayomhusu mama yako usiyaongelee hadharani, kuna wenzio wanatafuta weakness halafu wanapenyea hapo hapo kwenye weakness kesho unaumbuka
 
Sasa hivi mtu akimtaka mama yako atakuja na kujifanya mganga wa kugangua limbwata, mama akishangia laini unajua kitakachoendelea. Achaneni na imani potofu za kishirikina. jiulize MBONA WACHAWI AU WAGANGA WAKIKAMATWA NA POLISI HAWAJIONDOI MIKONONI MWA DOLA KIUCHAWI.
 
Yaani kama ningepata dawa ya kumuona na kumgandiha akiwa anafanya mambo yake hiyo ingekua evidence kubwa sana...

Chunga, muda si mrefu utaanza kwenda kwa waganga na hapo utakuwa umekwisha habari yako maana utakuwa umeshaingia kwenye uchawi.

Vv
 

umenena vema,mchawi ni yeye na akili yake mbovu.Mtoto wa kiume inatakiwa uingie mtaani kusaha noti si kuendeleza chuki za marafiki wa mama yako na mama yako mdogo.Yaonesha bado ni mbumbumbu wa mambo mengi hapa duniani hususani ndoa.

Acha ubwege wa kukaa kwa babako halafu utegemee maisha bora.Ingia kitaa,beba mizigo,uza machungwa piga debe kisha tofauti chumba ujitegemee huo ndo utakuwa mwisho wa akili ya kijinga inayoona mauzauza.

CHANGAMKA ANZA SASA
 
Paw please,mada hii ni ya mmu!
 
Last edited by a moderator:
Uchawi upo na nguvu za kuushinda uchawi zinatrofautiana kati ya mtu na mtu.
FaizaFoxy kashauri vzr sana.
Kama ni mkristo fanya maombi ya kubomoa ufalme kwa kufunga, hapa ni uache kazi ufanye kazi manake sio kazi ndogo na sio mchezo ata kidogo.

kama ni wa anga za juu kusin basi nenda na wewe mlingotini kammalize manake akuanzae mmalize
 
Last edited by a moderator:
Ndugu mi nshaomba sana... ila huyu mama ni kiboko,kila siku afadhali ya jana

Hakuna kiboko zaidi ya YESU, omba na uamini, Mungu hapendezwi na mtu anaye omba huku bado ana mashaka moyonin mwake. Sio unaomba halafu kuingia kitandani unaogopa au unaingia halafu unalala kimachale, ukijigusa tu wewe mwenyewe unaruka. Mchawi unamjua tena upo nae ndani, hiyo ni fursa ya kuomba na kumuombea kwelikweli tena usiku simama na uombe bila uoga.

Pata picha mchawi angekuwa mtu wa nje na usiyemjua?? unayo sababu nzuri zaidi ya kutokuogopa na kumuomba Mungu, lakini tambua hivi vitu vinahitaji uwe THABITI mbele za Mungu. Mungu wetu na awasaidie. "LUKA 10:19"

Pia lijue neno litakupa Imani na nguvu zaidi.
 
eti apart from maombi... sasa Bila kumuomba Mungu unategemea mauza yanaishaje tatizo uliomba bila imani na hauamini ndo maana hakuna kunachoshindikana ukiliitilizia jina la Yesu..... kama unategemea ushauri wa kumuua mamako mdogo hiyo dhambi itakutafuna milele muombe Mungu
 
Kama ni Muislam, hakikisha sala zako za faradhi (tano kwa siku) hazikupiti na hakikisha unakuwa udhu saa zote na unapoingia kulala hakikisha una udhu na unasoma Qur'an japo sura tatu ndogo za mwisho kila moja mara tatu.
Faiza Foxy nakukubali. somo tosha kwa sisi wote. ulipitia madrasa ya baba ake Sheikh Yahya Hussein pale Kinondoni nn??!!
Mashallah motto weye
 

Pamoja mkuu
 
Kama ni Muislam, hakikisha sala zako za faradhi (tano kwa siku) hazikupiti na hakikisha unakuwa udhu saa zote na unapoingia kulala hakikisha una udhu na unasoma Qur'an japo sura tatu ndogo za mwisho kila moja mara tatu.

Asante mdada
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…