Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
¤ Kazi zote za nyumbani anamwachia dada wakazi.
¤ Kazini kwake amesha vuruga na wenzake karibia wote mpaka bosi wake.
¤ Kachukua mkopo 12m toka bank ya crdb hajanishirikisha mwezi wa tatu sasa nimeprove kwenye salary sleep zake.
¤ Hana muda nami tena tukiwa home yupo busy na raptop yake, nikitangulia kulala yeye anachelewa kuja kulala, akitangulia yeye busy tu na mambo yake.
¤ Mtaani amesha korofishana na watu kibao.
¤ Mtoto wetu na dada wakazi kila siku wana nambia wewe na mama hamko sawa myamalize.
¤ Hana story tena na ndungu zangu hawapigi simu hata wakimpigia hapokei akipokea majibu yake ni yamkato sana.
¤ Hashauriki hambiliki ,hanisikilizi kabisa.
¤ Majibu yake kwa sasa hanamuda wa kurumbana wala kumnyenyekea mwanaume mtumzima kama mimi.
¤ Sasa nafua mwenyewe nikiwepo nyumbani au dada wakazi.
¤ Ndugu hameshindwa kurudisha upendo unaooweka kila kukicha.
Nataka ni mnyoshe mkewangu wandoa naomba ushauri wenu.
Binafsi nataka niondoke nyumbani walau nikapumzike mbali na jiji hili for 6months.ushauri tafadhari.
unaondoka na dada wa kazi na mtoto, au utakua mwenyewe tu?
Njoo nikupe mbinu atajileta mwenyewe kwa magoti. Twende zetu mkoa fulani ningekuambia zbr lkn na huu uchaguzi cio poa
miezi sita parefu,naomba twende wote na mie husband haeleweki tukapange mikakati ya ushindi:sick:
asante mkuu
huyo ni mchaga...bisha
hakuna hatari hapo mkuu,tunasaidia kutatua matatizomh muna hatari
mfanyizie aka zaa na housegirl
miezi sita parefu,naomba twende wote na mie husband haeleweki tukapange mikakati ya ushindi:sick:
nimevuta:smokin::sick:kidogo ile mishipa ya aibu imekatikaJF haiishiwi vituko, haya mipango mema huko mwendako