Mauwaji ya Waarabu Zanzibar

Mauwaji ya Waarabu Zanzibar

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=XqHi50YdAQQ&feature=player_embedded"]YouTube- zanzibar 1964 part 1 مجزرة زنجبار عم 1964 الجزء الاول[/ame]#

Was this polical or religious?
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=40_ih4nNdoc&feature=related"]YouTube- Broadcast Yourself.[/ame]
 
Mkuu umenikumbusha mbali huo mwaka 1964 ndio niliozaliwa mimi hapo Dares-salaam asante sana kwa video yako utanifanya leo nisilale nimkumbuke Marehemu mama yangu mzazi





[ame="http://www.youtube.com/watch?v=d3ctskomyHg&feature=related"]
pixel-vfl73.gif
[/ame]




pixel-vfl73.gif





 
Mkuu umenikumbusha mbali huo mwaka 1964 ndio niliozaliwa mimi hapo Dares-salaam asante sana kwa video yako utanifanya leo nisilale nimkumbuke Marehemu mama yangu mzazi.



Mkuu pole sana kwa kupotewa na Mama Mzazi.

Niliziona sehemu sehemu nikaamua tujikumbushe wapi tunatoka.

Mkuu nategemea ulilala salama.
 
Mkuu pole sana kwa kupotewa na Mama Mzazi.

Niliziona sehemu sehemu nikaamua tujikumbushe wapi tunatoka.

Mkuu nategemea ulilala salama.
hivo vipande tu google movie african addio ndo utaona ukweli wa siasa za maziwa makuu,kenya,rwanda urundi,uganda na tz
 
Madege haya yanayoonekana hayapo katika visiwa vya Zanzibar na wakati wa Mapinduzi hakukuwa na vyama vya misaada vilivyokuwa vikishughulikia maiti kama inavyoonekana kwenya video hii.

Ni ushaidi gani unao kuonyesha kuwa hizo ndege hazikuwepo Zanzibar?
 
Madege haya yanayoonekana hayapo katika visiwa vya Zanzibar na wakati wa Mapinduzi hakukuwa na vyama vya misaada vilivyokuwa vikishughulikia maiti kama inavyoonekana kwenya video hii.
mijitu mibishi,hiyo coverage imechukuliwa live weye,kusiwepo hivo videge wakati kipindi hicho ndo kwanza ukoloni umeondoka?kila kitu kilikuwepo kabla kina yakhe hawajaanza siasa zao na kuendekeza kahawa na ubwabwa na kucheza bao badala ya kufanya kazi
 
Ni ushaidi gani unao kuonyesha kuwa hizo ndege hazikuwepo Zanzibar?


Naenda kushoto unaenda kulia. Iangalie tena hiyo video ya pili na utaona madege (ndege wakubwa nyama sio aeroplane)
 
mijitu mibishi,hiyo coverage imechukuliwa live weye,kusiwepo hivo videge wakati kipindi hicho ndo kwanza ukoloni umeondoka?kila kitu kilikuwepo kabla kina yakhe hawajaanza siasa zao na kuendekeza kahawa na ubwabwa na kucheza bao badala ya kufanya kazi

Hii ndio tabia ya Kibongo! Unacholetewa unakidakia. Angalia tena hizo video na baadae utafakari na baadae ujiulize of all people kwanini Waarabu ndio wanaoitangaza.
Iangalie coverage na ujiulize hata baada ya Mapinduzi kulikuwa na watu wa misaada waliokuwa wakishughulikia maiti?
 
Hizi video zinahitaji kufikiri vizuri mno, kuliko kukurupuka kutoa comments,..maana dunia yetu hii ina mambo mengi ya kisanii!
 
Hii ndio tabia ya Kibongo! Unacholetewa unakidakia. Angalia tena hizo video na baadae utafakari na baadae ujiulize of all people kwanini Waarabu ndio wanaoitangaza.
Iangalie coverage na ujiulize hata baada ya Mapinduzi kulikuwa na watu wa misaada waliokuwa wakishughulikia maiti?
Ndio maana nikakwambia google hiyo movie uangalie movie nzimausifuate hivyo vipande vya waarabu wameweka,hiyo movie inazungumzia matatizo ya siasa ya afrika mashariki na kati kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom