hivo vipande tu google movie african addio ndo utaona ukweli wa siasa za maziwa makuu,kenya,rwanda urundi,uganda na tzMkuu pole sana kwa kupotewa na Mama Mzazi.
Niliziona sehemu sehemu nikaamua tujikumbushe wapi tunatoka.
Mkuu nategemea ulilala salama.
YouTube- zanzibar 1964 part 1 ٠جزرة Ø²ÙØ¬Ø¨Ø§Ø± ع٠1964 Ø§ÙØ¬Ø²Ø¡ Ø§ÙØ§ÙÙ#
Was this polical or religious?
Madege haya yanayoonekana hayapo katika visiwa vya Zanzibar na wakati wa Mapinduzi hakukuwa na vyama vya misaada vilivyokuwa vikishughulikia maiti kama inavyoonekana kwenya video hii.
mijitu mibishi,hiyo coverage imechukuliwa live weye,kusiwepo hivo videge wakati kipindi hicho ndo kwanza ukoloni umeondoka?kila kitu kilikuwepo kabla kina yakhe hawajaanza siasa zao na kuendekeza kahawa na ubwabwa na kucheza bao badala ya kufanya kaziMadege haya yanayoonekana hayapo katika visiwa vya Zanzibar na wakati wa Mapinduzi hakukuwa na vyama vya misaada vilivyokuwa vikishughulikia maiti kama inavyoonekana kwenya video hii.
Ni ushaidi gani unao kuonyesha kuwa hizo ndege hazikuwepo Zanzibar?
mijitu mibishi,hiyo coverage imechukuliwa live weye,kusiwepo hivo videge wakati kipindi hicho ndo kwanza ukoloni umeondoka?kila kitu kilikuwepo kabla kina yakhe hawajaanza siasa zao na kuendekeza kahawa na ubwabwa na kucheza bao badala ya kufanya kazi
Ndio maana nikakwambia google hiyo movie uangalie movie nzimausifuate hivyo vipande vya waarabu wameweka,hiyo movie inazungumzia matatizo ya siasa ya afrika mashariki na kati kwa ujumla.Hii ndio tabia ya Kibongo! Unacholetewa unakidakia. Angalia tena hizo video na baadae utafakari na baadae ujiulize of all people kwanini Waarabu ndio wanaoitangaza.
Iangalie coverage na ujiulize hata baada ya Mapinduzi kulikuwa na watu wa misaada waliokuwa wakishughulikia maiti?