Maumivu ya upendo wa kweli

Maumivu ya upendo wa kweli

kweli ulikuwa umekufa umeoza na lofa kabisa kwake.....ila huyo alipenda tu hali yak au mali wala si upendo..angekujali wakati unaumwa...hiyo ni njia ya kukuonesha tu uhalisia...sasa dharau zake anaomba msamaha ili iweje...huyo atakuangamiza.....we haijalishi uko wapi iwe TEXAS AU TZ we achana naye tena kata mawasiliano acha kumuendekeza....
 
kweli ulikuwa umekufa umeoza na lofa kabisa kwake.....ila huyo alipenda tu hali yak au mali wala si upendo..angekujali wakati unaumwa...hiyo ni njia ya kukuonesha tu uhalisia...sasa dharau zake anaomba msamaha ili iweje...huyo atakuangamiza.....we haijalishi uko wapi iwe TEXAS AU TZ we achana naye tena kata mawasiliano acha kumuendekeza....
Nimekata ... Nimetupa hadi line hadi simu na betri

eti mimi nachekesha
 
ahahaha story ndefu

eti mimi nachekesha
Acha kabisa hayo maumivu. Kwangu hali ilikuwa mbaya wadau walijua nitajitoa uhai nikawaambia msiwe na hofu I am so expensive to die like an idiot. Miaka minne imepita ninaombwa msamaha kila kukicha. Siku nimetandikwa cha mbavu nilikuwa nakula chapati siielewi elewi ladha yake. Utadhani nilikuwa nikila ngozi kavu ya ng'ombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kabisa hayo maumivu. Kwangu hali ilikuwa mbaya wadau walijua nitajitoa uhai nikawaambia msiwe na hofu I am so expensive to die like an idiot. Miaka minne imepita ninaombwa msamaha kila kukicha. Siku nimetandikwa cha mbavu nilikuwa nakula chapati siielewi elewi ladha yake. Utadhani nilikuwa nikila ngozi kavu ya ng'ombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
nmecheka sana ingawa sio mazuri ... Mungu anawaona hawa viumbe

eti mimi nachekesha
 
Acha kabisa hayo maumivu. Kwangu hali ilikuwa mbaya wadau walijua nitajitoa uhai nikawaambia msiwe na hofu I am so expensive to die like an idiot. Miaka minne imepita ninaombwa msamaha kila kukicha. Siku nimetandikwa cha mbavu nilikuwa nakula chapati siielewi elewi ladha yake. Utadhani nilikuwa nikila ngozi kavu ya ng'ombe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha ha Dah
 
Back
Top Bottom