Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
.




Post nzima inahuzunisha ila hapo uliponusurika kubakwa tu mkuuNawashukuru wote humu ndani na aliyetengeneza jf .. Ashukuriwe ...asante mkuu majaliwa na wengine wote ambao mlikuja pm kunielekeza mambo yalivyo ya hawa viumbe niliwaelewa na nikawasamehe. Mbarikiwe
eti mimi nachekesha![]()

Ni maumivu ya uoendo wa kweli mkuuPost nzima inahuzunisha ila hapo uliponusurika kubakwa tu mkuu![]()
![]()
![]()


Yaani unachekesha kabisa,Ni maumivu ya uoendo wa kweli mkuu![]()
eti mimi nachekesha![]()
naona ulitumiwa na emoji za kukimbiwa kwa msisitizo hahaaAahahahaha nshamsahau dah ilikua ngumu sana mkuu unajua ile umempenda mtu haucheat wala haufany chochote you just Make her happy hafu unaumwa unatakiwa uwe operated that woman betrays you ... It hurt ilikua ngumu ila nshampotezea nowbaba swalehe
If there are no ups and downs in your life it mean that you are Dead. Take a breath and move on,stop thinking about that bi*ch


Hahaha fundi bwanaunachekesha baba swallehe


Asante melkiory nshapona sasa hivi ... Sabun zlinisaidia hahahaHizo nyakati Mara nyingi iwe ME au KE hupitia ili kujifunza kuhusu mapenzi na upendo pole sana kwa yaliyokukuta
Sent using Jamii Forums mobile app


Yaani unachekesha kabisa,naona ulitumiwa na emoji za kukimbiwa kwa msisitizo hahaa
altuma hutu tuemoji dah ... I cried aisee hahaha 

Safi ndo maana tumasema loving worth is for Kids, Legend we Eat/Hit and runAahahahaha nshamsahau dah ilikua ngumu sana mkuu unajua ile umempenda mtu haucheat wala haufany chochote you just Make her happy hafu unaumwa unatakiwa uwe operated that woman betrays you ... It hurt ilikua ngumu ila nshampotezea now
eti mimi nachekesha![]()
Hahahaaa!!Hiiiii in jiwe's voiceAsante melkiory nshapona sasa hivi ... Sabun zlinisaidia hahaha![]()
eti mimi nachekesha![]()
Nshakua legend ila siwez hit and run nawaheshimu sana coz i have mom ila ningekua nimetotolewa ... Manina walahi wangekomaSafi ndo maana tumasema loving worth is for Kids, Legend we Eat/Hit and run


Heshima iwe zawad kwa mkeo hao mapugi achana nao..Nshakua legend ila siwez hit and run nawaheshimu sana coz i have mom ila ningekua nimetotolewa ... Manina walahi wangekoma
eti mimi nachekesha![]()
HahahaHeshima iwe zawad kwa mkeo hao mapugi achana nao..
In mzigua voice.....


Asante na usiku mwemaPole mkuu ukiumizwa na mpenzi ndo kukua huko msahau kabisa ili upate Amani, hata nyie wanaume mkipendwa huwa mnatuumiza vile vile, nadhani duniani kila mtu huumizwa kwa mda, na nilichojifunza nikutokulaumu, Bali kumshukuru maana mpenzi hukupa fundisho na akili kwa maisha ya baadae ya mahusiano.
Sent using Jamii Forums mobile app

