Maumivu makali



Pole sana mpendwa, hizo ni changamoto tu ila zisikuumize bali zikufunze ujue tatizo lilipo kisha ulitatue. Usikimbie wala uckacrike kwani unazidi kumpa go ahead.
Cha mcngi yajibu haya maswali;
1. Akija nyumbani toka kazini huwa unampokeaje? Unampa mda kidogo wa kumsalimia na kujua mawili matatu aliyoyapitia tangu atoke asubui?

2. Baada ya hapo unampa huduma gani kuondoa uchovu, eg maji ya kuoga, kuandaa msosi nk

3. Mawasiliano yenu yakoje, we ni mtu mbishi, wa kupiga kelele akikosea, ama wa kununa ovyo?

4. Ukiwa na jambo la kimapenzi ama la kimaendeleo unamshirikishaje? Faragha ama ni mtu wa kubeba moyoni?

5. Je kwenye tendo takatifu unajumuika vip, unajiandaa vp na usafi wako kwa ujumla ukoje?

6. Unafahamu vtu gani anapenda? Anavipata vyote? Su unajitahidi kiasi gani kujua flavour zake?

7. Unaufahaamu mchepuko wake, ukoje ukijilinganisha nae? Unajiweka sawa kama awali ama cku hizi mambo mengi?


8. Baada ya tukio hilo, tabia yako imekuaje hapo ndani?

9. Je, wewe ama yeye, kuna anayetumia kilevi?

10. Je, unamshirikidhs Mungu wako msmbo haya na kuomba hekima?


Ni hayo tu kwa sasa, ila all in all, stay calm, be humble and wise in all tou talk and do. Pia acha kuhoji nafsi yako sana juu ya hili kwani ndo maumivu yanaongezeka.

Iambie akili au moyo tulia ni maisha.

Usikae mda mrefu bila kula kuepuka matatizo mengine.

Safari bado ni ndefu hivyo funga tumbo, jikaze, wanao wasijue sana au kabisa.


Stay Alive! And may God give you strength.
 

kwenye hii post kuna sehemu nimecheka hadi machoz ila pole aiseee. hawa viumbe wanadamu both ke na me ni shidaaaaa
 
Hahahahah wapi hapo?

pale ulipojitahid kuwa mkali hahahahah

hiv nikuulize maana ishapita muda; si kuna wakat ukikumbuka huwa unacheka??
maana mie michoz haikukauka mapema
 
pale ulipojitahid kuwa mkali hahahahah

hiv nikuulize maana ishapita muda; si kuna wakat ukikumbuka huwa unacheka??
maana mie michoz haikukauka mapema

Teh teh, kuna muda nacheka saaanaaaa
 
Teh teh, kuna muda nacheka saaanaaaa

cheka tu LUV maana hakuna namna. yaan kila nikikumbuka nacheka. nahis ka nakuon Vile ulivyojiandaa gafla ukanyweaaa.
mbavu zangu mieeee
 
cheka tu LUV maana hakuna namna. yaan kila nikikumbuka nacheka. nahis ka nakuon Vile ulivyojiandaa gafla ukanyweaaa.
mbavu zangu mieeee

Hahahahahah haya bwana, umenifanya nicheke aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…