Maumivu makali

We acha tu, ukinogewa kaka ni hatari sana.
 
Hapa kazi ipo. Michepuko hii inaleta tabu sana ndani ya nyumba. Piga goti dada yangu kumuombea huyo mzee wako aponywe na hilo pepo..
 
Mtoa mada inaonekana huwa unachepuka kwa kutumia condom au mmekubariana mkichepuka mtumie kondom ndio maana unalalamika hapa
 
Hakuna kinachobadilika ila huwezi kumzuia mtu mzima mwenye akili zake kufanya atakacho.

I wish nikupe story yangu kidogo kuhusu simu ila inaumiza kwa upande wangu so sipendi kabisa kushika simu ya mwanaume
Huoni hapo kwa kushika simu imemsaidia kujua mme anaenda peku...
Bora kajua mapema ili ata akiambukizwa kuanzia sasa iwe ni kwa maamuzi yake na sio hakujua...
Kutoshika simu ya mmewe ni sawa na kutembea kwenye giza, kuna mambo unayoweza kuyaepusha endapo unashika simu yake,believe me bora kuumizwa na mambo mengine lakini sio kuambukizwa magonjwa na mmeo....
 
A 52yr old man cheating on his wife, so pathetic ekse! Nini anachohitaji huyu katika maisha ambacho hajakiona na kukiishi. Miaka 52 kweli...? Kweli kuna kukua mwili huku akili zikiwa changa..
 
Pole sana ,huwezi kumzuia amefikia critical age of cheating with surplus funds 50-65 yrs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…