Michael makassy
Member
- Jan 4, 2019
- 34
- 38
Habari zenu ndugu zanguni
Kuna maumivu ambayo nayapata kwapani ambayo sijui yametokana na nini
Yalianza juzi nilipo amka tu nikahisi maumivu kama kuna kipere lakini nikapuuzia
Ila jioni maumivu yakawa makali sana kiasikwamba mpaka nikapata homa ila nilimeza paracetamol homa ikashuka nikalala
Lakini jana nilipo amka tu nikakuta pamevimba pamoja na maumivu makali sana kiasikwamba hata kunyanyua mkono siwezi.
Msaada wenu jamani kwa anaye jua dawa au tatizo linatokana na nini
Kuna maumivu ambayo nayapata kwapani ambayo sijui yametokana na nini
Yalianza juzi nilipo amka tu nikahisi maumivu kama kuna kipere lakini nikapuuzia
Ila jioni maumivu yakawa makali sana kiasikwamba mpaka nikapata homa ila nilimeza paracetamol homa ikashuka nikalala
Lakini jana nilipo amka tu nikakuta pamevimba pamoja na maumivu makali sana kiasikwamba hata kunyanyua mkono siwezi.
Msaada wenu jamani kwa anaye jua dawa au tatizo linatokana na nini