guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,814
- 2,761
Ahahaha sawa mkuu
Ahahaha sawa mkuu
Nipo hapa Mwlm wa PHYSICS NA CHEMISTRY na nemehitimu 2016! vip wasemaje hapo na si mimi tu nina washikaji tumehitimu pamoja zaidi ya 10 na hawapata ajira.Kipaumbele ni walimu wa Sayansi ila Mathematics na Physics Kwa mfano intek iloko mtaani wa hayo masomo ni wale walomaliza mwaka jana 2019, na katika ajira zinazokuja lazima waajiriwe wote...
Nipo hapa Mwlm wa PHYSICS NA CHEMISTRY na nemehitimu 2016! vip wasemaje hapo na si mimi tu nina washikaji tumehitimu pamoja zaidi ya 10 na hawapata ajira.
Kakudanganya nani kuwa hawako mtaani!? Yani kwa taarifa yako wapo wa kushanta tu, usimfariji mwenzako. Saivi ajira za ualimu ni shida tupuDuuh hiyo ndo mpya nayo skia.. Naowafaham wote walimu wa Maths na Physics hawako mtaani kabisa zaidi ya wa mwaka jana. Jaribu kuangalia infomation zako unazo jana kama ziko sahihi
msaada w nn kijana?Msaada pls.
Tangazo si niliona week ilipita hili apa chini la walimu 12elf, nani atapata sasa na asipate dah poleni View attachment TAMISEMI.pdfajira.
kama wewe wa physcs & chemstry upo mtaani, mie wa englsh & kisw nazidi kata tamaaNipo hapa Mwlm wa PHYSICS NA CHEMISTRY na nemehitimu 2016! vip wasemaje hapo na si mimi tu nina washikaji tumehitimu pamoja zaidi ya 10 na hawapata ajira.
Mkuu ni kama ulijua na unajua kitu kuhusu ajira hizi,kama ndy niruhusu nije Pm.Ninavyojua mimi Walimu wa masomo ya Science wengi wao sio wote walikuwa wanajitolea kufundisha katika shule mbalimbali za serikali tangu January mpaka 17 March hawa ndio watakuwa KIPAUMBELE CHA HIZO AJIRA.
Pole sana ..nitafute.Mkuu ni kama ulijua na unajua kitu kuhusu ajira hizi,kama ndy niruhusu nije Pm.
kumbeh ni ahadi tu mkuu?Ahadi zake za kampeni hizo....2020-2025
Yeah alisema ataongeza na nyingineKumbeh ni ahadi tu mkuu?