Kichwa Cha habari chajieleza chenyewe.
Ndugu greater thinker wa JamiiForums naomba kupata majibu mwenye uelewa zaidi na huyu mtanzania mwenzetu.
Je, Maulid Wakitenge ni mwanahabari kama wanahabari wengine au Maulid Wakitenge ni mwanahabari lakini pia ni mtumishi serikalini?
Maswali yangu nayauliza kwa kurejerea tukio la Waziri Moses Nape Nnauye kushikiwa na kuonyeshwa bastola alipotaka kuongea na waandishi wa habari miaka kadhaa iliyopita. Katika tukio husika Mtanzania mwenzetu Maulid Wakitenge alisikika na kuonekana kumdhibiti yule askari aliyechomoa bastora huku akimwambia "UNATAKA KUHARIBU MAMBO WEWE".Na yule askari alitii maelekezo hayo
Ndo maana nawaza ndugu yetu huyu ni mwanahabari tu au ana kazi nyingine serikalini ndiyo maana hata yule askari alilazimika kumtii?
Poleni Watanzania wenzangu tulikotoka ni mbali kidogo maana ilifikia mahali hata mtu akunyoshee SMG mchana polisi wangesema hawamjui ili mradi tu ni mpango maalumu.
Ndugu greater thinker wa JamiiForums naomba kupata majibu mwenye uelewa zaidi na huyu mtanzania mwenzetu.
Je, Maulid Wakitenge ni mwanahabari kama wanahabari wengine au Maulid Wakitenge ni mwanahabari lakini pia ni mtumishi serikalini?
Maswali yangu nayauliza kwa kurejerea tukio la Waziri Moses Nape Nnauye kushikiwa na kuonyeshwa bastola alipotaka kuongea na waandishi wa habari miaka kadhaa iliyopita. Katika tukio husika Mtanzania mwenzetu Maulid Wakitenge alisikika na kuonekana kumdhibiti yule askari aliyechomoa bastora huku akimwambia "UNATAKA KUHARIBU MAMBO WEWE".Na yule askari alitii maelekezo hayo
Ndo maana nawaza ndugu yetu huyu ni mwanahabari tu au ana kazi nyingine serikalini ndiyo maana hata yule askari alilazimika kumtii?
Poleni Watanzania wenzangu tulikotoka ni mbali kidogo maana ilifikia mahali hata mtu akunyoshee SMG mchana polisi wangesema hawamjui ili mradi tu ni mpango maalumu.