Maulid Kitenge: Hajanitendea Haki wamechukua Acount zangu

kama alikuwa pale ofisin ni rahisi sana kuipata nywira yake
unategeshewa kamera
ukifungua simu au kompyuta yako mchezo unakuwa umeisha.
 
Hivi pamoka na 2-Step Authentication mtu anawezaje ku-hack account yako ya IG?
 
Kwani hawa bongo celebrities si wengi tu account zao hu hackiwa, Hata kawambwa pindi yupo wasafi yalishamkuta
Huwa inatafutwa excuse ya kumnanga Sadala, ufafanuzi wako wananzengo si wanachotaka kusikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…