Hivi kudukuwa wanaona kitu rahisi.
Huyo maulid kama alikuwa anaweka mambo yake azarani mfano nywila yake ina mwaka wa kuzaliwa au jina ambalo anatumia nywila,kama alikuwa kaacha kompyuta ofisini kutokufunga email zake na kama anatumia email ya ofisi lazima data zibaki ofisni.