Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Mm nishajibiwa hovyo mara moja lakini kwa kuwa najua kutumia mikono vzr kuudabisha reception haijajitokeza tena.
Mii mikono siwezi nilimuonyesha mlongo tu
Yakafwata majuto
Mm nishajibiwa hovyo mara moja lakini kwa kuwa najua kutumia mikono vzr kuudabisha reception haijajitokeza tena.
Hautekelezeki kirahisi na siku zote hamna mbadala wa alcohol.kwa nini mkuu?
malizia kauli yako bidada halafu nimekumisi mbayawanaume bana!!!!!
m'ke unamikwara weyeeeeeee!!!!
Ngoja nichangie na mimi.
Wanaume inabidi tufahamu kuwa nguvu ya mwanamke ipo mdomoni. Hata kama sio mkeo, mwanamke utamzidi vyote lakini kwenye kuongea halo lazima ukae. Sasa kwa sababu anataka akuumize kama vile wewe ulivyo/unavyomuumiza basis atakutamkia neno au maneno ambalo anajua litakuchoma mpaka ndani.
Kwa mwanaume tusi kubwa ni kudhihakiwa urijali wake, au kuambiwa kina mwanamme zaidi yake ( tunapenda kuwa the best kwa wake zetu)
Silaha kubwa ya kupambana na mwanamke ni tatu.
Kwanza ni kunyamaza na ku-react tofauti na alivyotegemea.
Pili kumbembeleza hata kwa kuomba msamaha wa uongo.
Tatu ni mabavu ambayo yanajumuisha kumlamba walau Kibao akivuka mstari wa kuongea.
Njia ya tatu haishauriwi sana na ila huwa inasaidia kujenga nidhamu ya kudumu.
Kwa uzoefu binafsi, wakati mwingine huwa Nazi miss kelele zake hivyo humchokoza makusudi kisha baadae nambembeleza.
Ni viumbe wazuri wenye mapenzi ila watata kama sisi unapowakorofisha. Lakufurahisha ni kuwa pamoja na tote in watu muhimu sana, tunawapenda na kuwahitaji
wakikubali talaka gharama za ndoa zitapungua
Yap
Tena za zilizofungwa roma nyingi zitavunjika rasmi coz zilishavunjika cku nyingi huku kitaa watu wakaoa na kuolewa upya kwny makanisa ya kilokole
Hautekelezeki kirahisi na siku zote hamna mbadala wa alcohol.
Kikubwa, kabla huaoa piga goti vya kutosha na ukishaoa piga goti pia vya kutosha ... heshima na adabu ya ndoa ni kitu cha pande mbili, kabla hujaheshimiwa na mke kukutii cha kwanza jiheshimu na uwe mtii, jinsi ulivyoandika mada yako kwanza inaonesha hujaoa and like MKE ni kitu tu umekileta nyumbani kwa ajili ya matumizi yako.
Kumbuka, unapopiga goti kwa ajili ya kumuomba MUNGU mke wa kufanana nawe, mke naye at the same time amekuwa akimuomba MUNGU mume wa kumfaa na kufanana naye so si lazima yeye tu ndo afuate tabia zako bali wewe pia unatakiwa ufuate tabia zake. Usisahau kanuni hii : Stranger+Rafiki+Uhusiano+Uchumba+Ndoa=Mke so kama huko kote ulipita mwisho wa siku ukaamua kujitwisha then hilo lako ... wanaume tupunguze kulalamika na tu deal na changamoto zetu za kwenye ndoa.
Mke ni binadamu kama binadamu wengine, tofauti ni jinsia tu, so kama wewe unakosea yeye pia anayo nafasi ya kufanya makosa tena kumbuka wao wana disadvantage in mood swing due to the monthly hormonal changes so weka room kwa ajili ya hiyo kitu. Kikubwa, kama couples msisahau kurekebishana kwa heshima na upendo na kusamehe, coz kwangu asiyesamehe ndiye anayepata hasara zaidi kuliko hata yule asiyesamehewa.