MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
baada ya kumuoa mke wangu ananiambia nina kibamia basi kila siku nina kazi ya kukivuta ili kirefuke!!!
daaaa hatar kwa maisha yako hio...
baada ya kumuoa mke wangu ananiambia nina kibamia basi kila siku nina kazi ya kukivuta ili kirefuke!!!
Kikubwa, kabla huaoa piga goti vya kutosha na ukishaoa piga goti pia vya kutosha ... heshima na adabu ya ndoa ni kitu cha pande mbili, kabla hujaheshimiwa na mke kukutii cha kwanza jiheshimu na uwe mtii, jinsi ulivyoandika mada yako kwanza inaonesha hujaoa and like MKE ni kitu tu umekileta nyumbani kwa ajili ya matumizi yako.
Kumbuka, unapopiga goti kwa ajili ya kumuomba MUNGU mke wa kufanana nawe, mke naye at the same time amekuwa akimuomba MUNGU mume wa kumfaa na kufanana naye so si lazima yeye tu ndo afuate tabia zako bali wewe pia unatakiwa ufuate tabia zake. Usisahau kanuni hii : Stranger+Rafiki+Uhusiano+Uchumba+Ndoa=Mke so kama huko kote ulipita mwisho wa siku ukaamua kujitwisha then hilo lako ... wanaume tupunguze kulalamika na tu deal na changamoto zetu za kwenye ndoa.
Mke ni binadamu kama binadamu wengine, tofauti ni jinsia tu, so kama wewe unakosea yeye pia anayo nafasi ya kufanya makosa tena kumbuka wao wana disadvantage in mood swing due to the monthly hormonal changes so weka room kwa ajili ya hiyo kitu. Kikubwa, kama couples msisahau kurekebishana kwa heshima na upendo na kusamehe, coz kwangu asiyesamehe ndiye anayepata hasara zaidi kuliko hata yule asiyesamehewa.
wanamatatizo hao.... wengine wanataka mapacha tu!
Sasa hivi Vatican wanajadili kuhusu talaka, nasubiri majibu kwanza.
tena siku hizi ameanza tabia mbaya!!!
tukiwa tunagegedana yeye anaongea na simu tena bila wasi wasi na anayeongea naye hagundui kama mtu anagegedwa!!!
mmh! huyu anakuwa anatania au ni serious ? mbona kazi ipo kama ndio hivi1.sijui ilikuwaje hadi mimi kuolewa na wewe sikupendi hadi basi tu.
2. mwanaume gani wewe??kati ya wanaume nawe utasema ni mwanaume.pole sana
3.Mimi siyo mwanamke wa hadhi yako nenda katafute mwanamke wa type yako siyo mimi
hayo ni baadhi tu ya maneno ya kelo.. afu hapo anaongea yuko serious ..ukimwambia achaache hayo maneno anakaza tu na kuzidisha..
mimi naishia hapo
mmh! huyu anakuwa anatania au ni serious ? mbona kazi ipo kama ndio hivi
hataniwi mtu hapo..na ukicheche ukimwita mke wangu anakujibu mbele za watu nani mke wako hapa???
Pole mkuu mwambie Mungu ashughulike na ndoa yako maana huyo ndiye mwanamke aliyetoka ubavuni mwako mwambie Mungu amshughulikie amrekebishe na wewe urekebishwe ili yeye afit kwenye ubavu wako
:A S-confused1::A S-confused1:
Ole wake nimwone mtu anakuja kucomment kwenye huu uzi...
baada ya kumuoa mke wangu ananiambia nina kibamia basi kila siku nina kazi ya kukivuta ili kirefuke!!!
Utakuta msichana mrembo kipindi mnaanza ....mkishaingia kuishi nyumba moja, .......ule usafi wote unatoweka ghafla......na kero zingine zinazo sababishwa na mazoea.......ukiulizwa utaambiwa ....."Bwana eeeeeh kama umenichoka tupotezeane tuachane kwani lazima kuishi pamoja?!"...........Halafu hapo mtu ndio unataka kuweka kambi unataka kuachana na kuhangaika na vicheche!Dah mademu wa siku hizi kusema ukweli ni vilaza kwenye kumanage ndoa zao.......i hope soon serikali watatoa diploma na degree ya wife material ili hawa waliopitwa na unyago waliokuwa wanapata mabibi zetu wakaelimike warudi kwenye mstari familia ziimarike.
1.sijui ilikuwaje hadi mimi kuolewa na wewe sikupendi hadi basi tu.
2. mwanaume gani wewe??kati ya wanaume nawe utasema ni mwanaume.pole sana
3.Mimi siyo mwanamke wa hadhi yako nenda katafute mwanamke wa type yako siyo mimi
hayo ni baadhi tu ya maneno ya kelo.. afu hapo anaongea yuko serious ..ukimwambia achaache hayo maneno anakaza tu na kuzidisha..
mimi naishia hapo