Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Hawa jamaa wa Kaskazini bana,kuondoa roho zao,kutoa roho za watu wengine kwao ni kitu chepesi sana,mimi bado nina maumivu wacha tu nitoke kwenye hii thread maana saa hizi kama isingekuwa nguvu za mwenyezu Mungu ningekuwa nanyea debe!Hutaweza amini haya ila yatakapokukuta ukiwa na mahusiano ya kimapenzi na hawa watu ndio utaelewa ninachokizungumza.:angry:
 
aliye pigwa risasi siyo carlo, na huyo aliye kuwa akiendesha hiyo gari ndiye alikuwa mchumba wa carlo, aliye piga risaasi alikuwa akimng'ang'ania dada mwingine kimapenzi, na lipo kataa akaamua kufanya alicho fanya
 
 
Muuaji anaonekana alikuwa na shabaha! alikuwa analenga kichwa tuu.
 
Uwiiiiiii Yesu wangu Gabriel Munis tena!?? si ndiyo walewale! hakika nyapu zitawamaliza bwasheee!
 
Ila mbona nasikia (Francy)driver yupo ICU....daaah maskini ni mkenya huyu bwana...Rest in Peace Alfa Alfred.....
 


Experience is what we share freely; sasa mpaka mtu yamkute ndo busara ya wapi hiyo mkuu????!!
 
Jamaa kafanya fasta sana ilitakiwa atulie na aanze na mzinguaji then amalizie wapambe baadae anamaliza kwa kujiua yy km sterring. Hii movie ya ajabu sana main character kafa kabla ya wadogo!!!. Labda kama silaha haikuwa ba risasi za kutosha. Hapa ameacha story ambazo zitawapa taabu watu wengi. Mf. Huyo mchumba wake atahojiwa na kutoa kila kitu ambacho hakiwez msaidia mtu.
 
Huu mwaka umetawaliwa na milio ya risasi na mabomu,sijui mwakani itakuwaje??,mungu atunusuru na awalaze mahala pema peponi waliotangulia mbele ya haki.
 
Hata kama ni mapenzi jamani mbona ni ujinga kuua na kujiua na hayo mapenzi huyapati tena........


Poleni sana wafiwa.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!


hizi tamthilia, zingepigwa marufuku jamani, watu wanaishi kitamthilia zaidi. poleni wafiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…