Hawa jamaa wa Kaskazini bana,kuondoa roho zao,kutoa roho za watu wengine kwao ni kitu chepesi sana,mimi bado nina maumivu wacha tu nitoke kwenye hii thread maana saa hizi kama isingekuwa nguvu za mwenyezu Mungu ningekuwa nanyea debe!Hutaweza amini haya ila yatakapokukuta ukiwa na mahusiano ya kimapenzi na hawa watu ndio utaelewa ninachokizungumza.:angry: