Mauaji ya kimbari kwa mifugo Ngara

Mauaji ya kimbari kwa mifugo Ngara

Serkal pamoja na wafugaj wakae pamoja il kutatua matatizo ktk secta hiyo. Upotev wa mifugo ni hasara kwa wa tz na taifa
 
Naomba ufafanuzi wa neno "kimbari" kama ulivyolitumia kwenye badiko hili...
Ni halali kuhusishwa na mauaji ya mifugo?

Mkuu anamaanisha mauaji ya haraiki kwa kigezo ubaguzi wa utaifa au kabila sababu hao ng'ombe wengi ni kutoka rwanda
 
Hata kama wangekuwa wa Rwanda aisee siyo halali


Sent from my iPad using JamiiForums

Ndo nlitaka nijue ili nijue uhalali wake, kama wa rwanda ni halali kabisa
 
Kama wamekuja kufuga bongo kiholela faini ilitakiwa kuwataifisha ng'ombe wote waliokamatwa ndani ya siku 3 kama faini/rushwa haijalipwa.., lakini sio kufanya ukatili wa aina hii.., hao ng'ombe wanamakosa gani lakini..?!
 
Ni dhambi kubwa kuua mnyama asiye na hatia.Mamlaka husika fuatilieni hali jambo na hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa wote waliopanga na waliokamilisha mauaji haya.
 
Hzo ndzo akili zetu unampa mnyama adhabu kali namna hyo,je mnyama anajua kosa lake?walishndwa nn kuwakamata wahusika na kuwataifisha hao ngombe?km sheria inawarusu kufanya hvo.waliofanya hvyo lazima wakutane na hukumu ya mungu.
 
hili tukio limesikitisha watu wengi sana, wahusika wachukuliwe hatua kali za kisheria
 
Back
Top Bottom