My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
- Thread starter
- #41
Tuambie Azory Gwanda yuko wapi na Ben Saanane na Kwanini serikali inaogopa kuleta wachunguzi huru, iko siku yenu nyie wauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuambie Azory Gwanda yuko wapi na Ben Saanane na Kwanini serikali inaogopa kuleta wachunguzi huru, iko siku yenu nyie wauaji
Na wakinitafuta itakuwaje, hii ni JF siyo FB,Watakutafuta kabisa umesahau hilo
Kwa post yako hii, umegeuza uzi wako kuwa Ransomware thread!!!Sikutaka kuandika bila kujionea, sasa nimejionea mwenyewe na ninazituma hizi Habari Marekani kwenye Gazeti la Newsweek
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini My Son drink water issue ya Azory si tumeishambiwa aliko tayari, unataka maiti yake ya nini, au haumuamini mheshimiwa waziri?Tuambie Azory Gwanda yuko wapi na Ben Saanane na Kwanini serikali inaogopa kuleta wachunguzi huru, iko siku yenu nyie wauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona unakuja na black propaganda kuichafua serikali ya Magufuli na vyombo vya ulinzi kwa kuvipaka matope ya mauaji..Tuambie Azory Gwanda yuko wapi na Ben Saanane na Kwanini serikali inaogopa kuleta wachunguzi huru, iko siku yenu nyie wauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa. Hilo ndilo nililiuliza. Mimi nimefanya biashara ya samaki na dagaa nafahamu mialo na visiwa. Aseme hapa ni kisiwa gani kinachopakana na mbuga.Report ya hovyo kabisa na uchonganishi. Uandishi kama huu ni hatari sana, sema na wapi ziwa na mbuga vinakutana.
hifadhi ya Burigi chatoHii habari haina chanzo cha uhakika. Lakini nawashangaa vijana mnavyotiririka. Inasikitisha. Mtu anaandika jambo ww bila kuwa na uhakika nalo unaandika kwa chuki na ghadhabu bila kufikiri mara mbili. Lini mtakuwa vijana. ? Kwanza toka lini Tanzania tuna majasusi? Polisi wanyama pori ni majasusi? Je jasusi ni nani? Unataka kusema jasusi huwa anatumwa kwa wananchi choka mbaya?
2.Naombeni mseme ni hifadhi gani hiyo mwanza iliyowekwa na kutengwa kuwa hifadhi ya wanyama pori. Nimekaa mwanza sikumbuki. Labdanum mnaokaa mwanza mtuambie kama kuna mwalo, kisiwa kilicho karibu na hifadhi ambacho kinawavuvi
3.huyu mtu ametokea Kenya kisumu ndipo kaja Tz. Huyu ni mtanzania kweli? Eti alipopata habari akaenda kupiga kambi. ??kwangu mimi huyu si mtanzania. Na watanzania hasa vijana mtachanganywa na kuchochewa na mahawayani kama hawa.
4. Uvuvi haramu iliendeshwa kwa operations nafikiri zaidi ya mbili na zote nilikuwepo Irugwa kisiwani, busekere, upande wa mwanza na kwenye mwalo wamakoko na kisiwa cha Lukuba musoma .Najua wavuvi wanavyoreact kwenye ishu za uvuvi haramu. Hakukuwa na cases za watu kuuliwa tena kipindi kile mambo yalikuwa moto. Sasa hii ni IPI mtoa mada anayotueleza.
Aisee tuweni makini mno. Magufuli atapita lakini Tanzania itabaki. Watu kama hawa ndiyo walichafua Libya na nchi zote zisizotawalika kwa msaada wa westerners. Poor Tanzanian's
Hata kwa Kisukuma mkuu maana yake ni hiyo hiyo! Kumbuka mkuu kalisifiwa ma mkulu kwamba ni ka kichaa kama yeye!Waziri wa uvuvi ni mmoja wa watu wakatiri kabisa nchini Tanzania , na mtu wa kanda hiyohiyo , anaitwa Mpina ( kwa kinyakyusa maana yake Yatima )
Wote tunauliza kuhusu Ben sanane na gwanda lakini haikupi mandate ya kuleta uongo na chuki hapa.Tuambie Azory Gwanda yuko wapi na Ben Saanane na Kwanini serikali inaogopa kuleta wachunguzi huru, iko siku yenu nyie wauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ushaitafakari au? maana usikatae wahenga walisema kisemwalo lipo kama halipo laja Kuna mtu kasema yupo maeneo ya Geita na kadai habari hii ni kweli so kila mtu afanya uchunguzu kwa namna yake ili kuondoa ukakasi wa habari hii kama ni kweli au la, kikubwa mleta hoja kaleta habari kutujulisha kwamba Kuna kitu cha namna hii ndani ya TzHaswaaa. Hilo ndilo nililiuliza. Mimi nimefanya biashara ya samaki na dagaa nafahamu mialo na visiwa. Aseme hapa ni kisiwa gani kinachopakana na mbuga.
Mimi niwaambie vijana wanaonyakua topic juu kabla haijafika chini wakaitafakari. Watumie basi usomi wao hata ule wa kukariri majawabu kuhoji mambo. Tanzania ya kwetu wote ikiharibika kwa sababu ya wapumbavu kama hawa tumeisha wenyewe watarudi kisumu kutucheka
Kasema bugiri chato. Sijui kuhusu huko. Kwanini mtoa mada asitupie hicho alichorekodiWw ushaitafakari au? maana usikatae wahenga walisema kisemwalo lipo kama halipo laja Kuna mtu kasema yupo maeneo ya Geita na kadai habari hii ni kweli so kila mtu afanya uchunguzu kwa namna yake ili kuondoa ukakasi wa habari hii kama ni kweli au la, kikubwa mleta hoja kaleta habari kutujulisha kwamba Kuna kitu cha namna hii ndani ya Tz
Sent using Jamii Forums mobile app