Duh that is the dark side of islam. Nadhani hii dini ni kirusi, maani kiingia kwa mtu hakitoki mpaka kimuu au aue wengine na yeye afe. Lakini cha ajabu hawa waisla pia wanatofautiana sana wao kwa wao. Basi bwana inabidi kuzidi kupiga goti kumuomba Mungu aliye wa kweli (siyo ala wao) ili atuepushe hili balaa bongo
Wafundishwe nn? Matukio yanayotokea ni maagizo ya mtume wao. Waueni wote wasio amini ktk uislam, mungu wao amewapa mamlaka ya kuua! Waislam wengi ni wema lakini sio kwasabab ya misingi ya kitabu chao. It's just they're conscious of being a good human being. Tatizo sio waislam ila kitabu chao na Kama wote wangefuata yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu ingekuwa armageddon.
Great thinkers,
Ukweli tukio la lililotokea Kenya ni la kusikitisha na ni la kulaaniwa na watu wa dini zote. Je suluhisho ni nini? Maana ukiangalia mazingira ya haya mashambulizi ni magumu kuyakwepa haswa kwa familia ambazo tumezoea kwenda mlimani city eti kuvinjarisha familia zetu. Sasa wakija bongo si ndiyo watatumaliza kwelikweli. Mi nashauri:
- Misikitini wawafundishe waislam kuwa na upendo kwa watu wasiokuwa waislam. Ili kuepusha mauji ya watu wasiokuwa na hatia
- .....
Ongezea au nikosoe,
Wapo wanaojaribu kuwaonya waislamu wenzao wanaishiwa kuuawa au kumwagia tindikali lakini huwezi kuona ktk ukristo watu wakipingana na kuuana, mlisema wamarekani waondoke Iraq mpaka Leo hii mnauana Sunni na Shia, Syria na misri ni hivyo hivyo. Yugoslavia wakati waislamu wanauliwa ni wamarekani hao hao mnaowaita makafir waliokwenda kuwakomboa ndugu zenu hakuna hata taifa moja la kiislam lilokwenda kusaidia! Mpaka mkafanikiwa kujitenga, wamarekani hao hao ndio wanawapigania Chechnya wajitenge kutoka urusi.
Wanajua hao!?,viropo ropo 2tatixo sio miskiti tatizo ni kuvamia somalia
Wanaijua divided rule,ila wanajitia machizi ili waonekane wasemaji hapa jukwaaniWewe upo na malengo maovu na chuki yako kwa uislamu haitousambaratisha uislamu. Kuwa mstaarabu ili dunia iwe sehemu ya amani. Unategemea nini baada ya fitna aliyoifanya amerika kwa Suni na Shia pale Iraq?