Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,780
Habarini Jamani wa JF! Naomba mnisaidie kwani na shindwa kutofautisha mafundisho ya Bible kuhusu kuua na Utakatifu wa taifa la Israel. Bible inasema usiuue na Israel ni taifa teule mbele ya Mungu hadi hata Wagogo, Wamatumbi, Wahaya, Wahehe, Wachaga nakadharika wanadai nao ni Waisrael. Swali langu Je Taifa tukufu lina Bible yake? Mnaosupport taifa hilo nanyi mnakubaliana na mauaji ya Kigaidi na halaiki yanayofanywa na taifa hilo?